Nini kinaisibu Shilingi ya Kenya?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Kila siku inazidi kushuka thamani sasa ni kenya tsh 1 sawa na tsh 16.51 wakati zamani ilifika mpaka 22
Ni hujuma kwa Ruto
Ama wakenya wamerudia tabia yao ya asili ya uvivu
 
Kila siku inazidi kushuka thamani sasa ni kenya tsh 1 sawa na tsh 16.51 wakati zamani ilifika mpaka 22
Ni hujuma kwa Ruto
Ama wakenya wamerudia tabia yao ya asili ya uvivu
Ruto amewaambia wafunge mikanda zaidi.😁
 
Ni suala la balance of trade, wana import sana kuliko wanavyo export. Demand ya US dollar imepanda sana, sheria za demand and supply zinafanya pesa ya Kenya ishuke thamani.

Ndiyo maana rais Ruto anaongelea sana kuachana na US dollar na kufanya biashara kwa local currencies


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…