Nini Kinamsibu au kimempata Mzee wetu wa Miziki ya Dansi King Kikii?

Nini Kinamsibu au kimempata Mzee wetu wa Miziki ya Dansi King Kikii?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nilivyomuona mwaka juzi au mwaka jana mwanzoni na nilivyoona alivyo sasa si tu nimesikitika bali nimechozika pia.

Naomba Bendi zote za Dansi nchini Tanzania ziandae Tamasha kisha Kiingilio chote kikamsaidie Mzee wetu huyu. Nina uhakika hata baadhi yetu hapa wenye Mioyo myepesi mkipandishiwa hapa Picha ya alivyo na anavyoonekana sasa Mzee King Kikii lazima tu mtachozika.

Kama vipi hata hapa hapa tu JamiiForums ipigwe 'Donee' ya Kiaina na atafutwe Mtu akaufikishe Mzigo kwa Niaba Ok?
 
Inasemekana bar za kitambaa cheupe ni za kwake, zinasimamiwa na mwanae...hayo matatizo ya kifedha anayapataje?
na mimi nasikia hivyo, Je kwa hali yake kwa sasa inaweza kuwa kweli au ni uzushi tu?
 
Nilivyomuona mwaka juzi au mwaka jana mwanzoni na nilivyoona alivyo sasa si tu nimesikitika bali nimechozika pia.

Naomba Bendi zote za Dansi nchini Tanzania ziandae Tamasha kisha Kiingilio chote kikamsaidie Mzee wetu huyu. Nina uhakika hata baadhi yetu hapa wenye Mioyo myepesi mkipandishiwa hapa Picha ya alivyo na anavyoonekana sasa Mzee King Kikii lazima tu mtachozika.

Kama vipi hata hapa hapa tu JamiiForums ipigwe 'Donee' ya Kiaina na atafutwe Mtu akaufikishe Mzigo kwa Niaba Ok?
Sio kwamba ni uzee kutokana na umri wake!
 
Nilivyomuona mwaka juzi au mwaka jana mwanzoni na nilivyoona alivyo sasa si tu nimesikitika bali nimechozika pia.

Naomba Bendi zote za Dansi nchini Tanzania ziandae Tamasha kisha Kiingilio chote kikamsaidie Mzee wetu huyu. Nina uhakika hata baadhi yetu hapa wenye Mioyo myepesi mkipandishiwa hapa Picha ya alivyo na anavyoonekana sasa Mzee King Kikii lazima tu mtachozika.

Kama vipi hata hapa hapa tu JamiiForums ipigwe 'Donee' ya Kiaina na atafutwe Mtu akaufikishe Mzigo kwa Niaba Ok?
Hana shida ya hela ni afya tu ndio shida mtoto wake ana ukwasi wa kutosha ndio mwenye bar za kitambaa cheupe
 
Pale habari inakuacha na maswali picha iko wapii
 
Back
Top Bottom