ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,244
- 1,741
Naomba kujua kinachosabaisha Ualbino kitaalamu zaidi, maana katika kuuliza uliza kila mtu amekua akinipa jibu lake, wengine wanasema ni kurithi, unakuta baba ni mweusi na mama ni mweusi lakini mtoto anakuwa na albinism.
Je, ualbinism unatoka kwa mama au kwa baba?
Tupige vita uuaji wa ndugu zetu wenye Albinism (Ualbino).
Je, ualbinism unatoka kwa mama au kwa baba?
Tupige vita uuaji wa ndugu zetu wenye Albinism (Ualbino).