pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Nimekuwa nikijiuliza nikitu gani kinachofanya mwili wa binadam kuwa na joto Kali kupita kiwango chake cha kawaida pindi anapoumwa malaria.
ni nini kinachosababisha na Kama ni vijidudu vinapata wapi moto wa kuweza kuuwasha ndani ya mwili bila mwili kuungua lakini kuwe na joto Kali nadhani nimeeleweka na humu najuwa kuna watu wenye utaalam wa mambo hayo.
Nawasilisha...
ni nini kinachosababisha na Kama ni vijidudu vinapata wapi moto wa kuweza kuuwasha ndani ya mwili bila mwili kuungua lakini kuwe na joto Kali nadhani nimeeleweka na humu najuwa kuna watu wenye utaalam wa mambo hayo.
Nawasilisha...