Nini kinasababisha kuota mvi kwa vijana?

Nini kinasababisha kuota mvi kwa vijana?

Humble African

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
4,781
Reaction score
14,415
Mimi ni kijana mdogo miaka kama 25 hivi, ila mpaka sasa nina mvi kuanzia kwenye ndevu hadi kichwani. Sitaki kujali sana juu ya hili ila nahitaji tu kufahamu hii inasababishwa na nini?

Na pia kuna tiba yake?

Karibuni!
 
Mimi ni kijana mdogo miaka kama 25 hivi, ila mpaka sasa nina mvi kuanzia kwenye ndevu hadi kichwani. Sitaki kujali sana juu ya hili ila nahitaji tu kufahamu hii inasababishwa na nini?

Na pia kuna tiba yake?

Karibuni!

Dawa yake ipo: Mnunue jogoo mkubwa aliekomaa na ndizi bukoba,mchinje kuku mchemshe,kisha changanya na ndizi bukoba,weka karot,hoho,tangawizi kidogo.akiiva jifungie chumbani kula taratibu(Mtu akibisha hodi usimfungulie),ukimaliza pata juice ya embe kidogo.baada ya hapo lala kidogo.fanya hivyo wiki 1 MVI ZOTE ZITAPOTEA.
 
Dawa yake ipo: Mnunue jogoo mkubwa aliekomaa na ndizi bukoba,mchinje kuku mchemshe,kisha changanya na ndizi bukoba,weka karot,hoho,tangawizi kidogo.akiiva jifungie chumbani kula taratibu(Mtu akibisha hodi usimfungulie),ukimaliza pata juice ya embe kidogo.baada ya hapo lala kidogo.fanya hivyo wiki 1 MVI ZOTE ZITAPOTEA.

Mhhh!! Makubwa haya jama? Mtu hajutii kimya chake, anajutia maneno yake!! Haya Maneno haya aiseee!?
 
Back
Top Bottom