Nini kinasababisha Lady Jaydee atake kujiua?

Ameleta kwa jamii ili ifanyaje?mbona akigongana hasemi jana nimepigwa ngapi!!!ukiona ameandika kwa public anaomba msaada
Anapooza moyo....
Mwenye akili anachagua la kusema...sote tunafikiria tu ..ukweli anajua yeye...
Inaweza kuwa hata kiki...
 
Huyu Dada itakuwa kuna mambo sirini yanamtatiza pasipo yeye kupata majibu yake
 
hapo kwenye neno dhambi...naunga mkono hoja!
 
Huyu dada anamajivuno sana na wala siyo mtu poa kabisa ana kautemi flan hiv kakipuuz puuz. Kwa kifup Mimi simpend na huwa sipend watu wenye majivuno kama huyu manzi

Tatizo lake anapenda wanaume walevi na mashorobaro. Naishia hapo
Uzuri wake anaonesha anapenda jumlajumla ndio maana anaumia sio ubabe bali ni Upendo kutoka moyoni
 
Nataka kuoa mm ni kijana 27yrs nimejenga tayar nyumba pia ninausafir tayar pia nina kazi halali kbx nataka binti mwenye diploma au degree awe maji ya kunde c mfupi wa wastani sifa Mhimu awe na tako cyo kalio awe kabila yoyote dini yoyote karibuni
 
Nimekua shabiki wake tangu albamu yake ya machozi. Ni mwanamziki anayependa sana kutumia "public sympathy" kufanikisha shughuli zake za mziki. Na it always works out for her.
 
Ni kweli anajisikia. Dada yetu anasahau kuwa pesa sio kila kitu. Huwezi kununua pendo au mapenzi kwa ngawira. Mimi langu siuzi hata kwa yen.
 
Ni kweli anajisikia. Dada yetu anasahau kuwa pesa sio kila kitu. Huwezi kununua pendo au mapenzi kwa ngawira. Mimi langu siuzi hata kwa yen.
Duu mkuu umenikumbusha mbali sana kipindi nasoma alivyoachana na gardner. Jide alitumia pesa kama kigezo cha kumpata gardner akasahau upendo haununuliwi. Ubaya Zaidi alivunja ndoa ya mwanamke mwenzie (Msomali).
Saivi anavuna alichopanda.

NB: Gardner nae pesa zilimchanganya kwa sababu kwa mwanamke unaempenda toka moyoni huwezi muacha ni ngumu mno na nahisi alikua anafaidi hizo pesa tuu ila moyoni mwake anajua anajilazimisha kwa jide na jide hafui dafu kwa mama Careen.
 
U superstar pekee hautoshi kama huna amani ya moyo...
Ni kweli kabisa Mkuu Amani ya moyo nd msingi mkubwa katika maisha, kama huna Amani ya moyo hakuna maisha hata kama unamiliki kila kitu duniani vinakuwa ni worthless
 
Hiyo ni heading ya wimbo wake mpya
 
hajapa mwenye uwezo wa kumpa kababy Kama ni hivyo me nipo tiyari huo uwezo wakumfanya aitwe mama ninao wala hatajuta kunipa papuchi Shida moja tu mimi si maarufu Kama atakavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…