Ameleta kwa jamii ili ifanyaje?mbona akigongana hasemi jana nimepigwa ngapi!!!ukiona ameandika kwa public anaomba msaadaKuongea is moyoni tena lililopita haihitaji Mwana saikolojia!
Hajaomba msaada hapo .ni kaongelea ..past !
Anapooza moyo....Ameleta kwa jamii ili ifanyaje?mbona akigongana hasemi jana nimepigwa ngapi!!!ukiona ameandika kwa public anaomba msaada
hapo kwenye neno dhambi...naunga mkono hoja!Ni kweli ila kizazi kinachofata kitalipa, mtu wa karibu kama mke/mume/hawara n.k pia mhusika atakwenda motoni. Tunaishi katika ulimwengu wa kubalance sema watu hawalielewi hili. Mostly mikosi inawaandama pasipo wao kujijua.
By the way mtafute MUNGU utayafahamu yote haya. Kiini cha matatizo yote hapa duniani ni dhambi.
Uzuri wake anaonesha anapenda jumlajumla ndio maana anaumia sio ubabe bali ni Upendo kutoka moyoniHuyu dada anamajivuno sana na wala siyo mtu poa kabisa ana kautemi flan hiv kakipuuz puuz. Kwa kifup Mimi simpend na huwa sipend watu wenye majivuno kama huyu manzi
Tatizo lake anapenda wanaume walevi na mashorobaro. Naishia hapo
Kuna lijinga hapo limemjibu vibaya
Huyo aliye reply hiyo tweet, Mungu anamuona 😱
Duu mkuu umenikumbusha mbali sana kipindi nasoma alivyoachana na gardner. Jide alitumia pesa kama kigezo cha kumpata gardner akasahau upendo haununuliwi. Ubaya Zaidi alivunja ndoa ya mwanamke mwenzie (Msomali).Ni kweli anajisikia. Dada yetu anasahau kuwa pesa sio kila kitu. Huwezi kununua pendo au mapenzi kwa ngawira. Mimi langu siuzi hata kwa yen.
Ni kweli kabisa Mkuu Amani ya moyo nd msingi mkubwa katika maisha, kama huna Amani ya moyo hakuna maisha hata kama unamiliki kila kitu duniani vinakuwa ni worthlessU superstar pekee hautoshi kama huna amani ya moyo...
Wakuu,
Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.
Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.
Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.
Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.
Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.
Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .
Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.
Hili jambo si dogo...
Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?
Nawasilisha
Check out @JideJaydee’s Tweet: