milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,063
We ulivofic unataka kumgegeda dada wa watuMwenye mawasiliamo aniunganishe nina shida naye
Hamna mkuu kumgegeda itategemea mahusiano memaWe ulivofic unataka kumgegeda dada wa watu
Amrudie mungu hamna namna hapo kama pesa anazo si bora akaimbe nyimbo za injiliUmri umemtupa, matarajio yake mengi anaona hayafikii lengo. Ila kujitoa uhai ni dhambi kubwa, Mungu amsaidie
Sasa mtoto mzuri kama huyu anajiua kisa kodi.....upuuzi mtupu.....si angekuja Dar hapa apate sponsor wapo kibao....awekwe kinyumba maisha yaanzeView attachment 879709Usuperstar kazi.
Walicheza sana Na life enzi zaoIla huyu dada yuko frustrated sana, hata tweets zake zinaonesha hilo. SIJUI ANA MATATIZO GANI