Nini kinasababisha tatizo la nyumba kupasuka madirishani

Nini kinasababisha tatizo la nyumba kupasuka madirishani

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
973
Habari wakuu;

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nina nyumba yangu yangu ambayo niliijenga mfululizo (non stop) hadi nahamaia, na sasa imetimia mwaka mmoja.

lakini jambo la kushangaza madirishani kunatokea mipasuko hadi inaninyima raha yaani kila dirisha la nyuma yangu lina mipasuko at least miwili ambayo inaanzia juu kushuka kwenye msingi.

Kwa ufupi nyumba hii imejengwa kwenye slope kdg hivyo upande mmoja n=una kozi nane na mwingine kozi tano ila fundi hakuweka matundu ya kupumilia kwenye msingi.

Naomba nielekezwe tatizo linaweza kusababishwa na nini, na nifanye nini ili tatizo hilo lisiendelee? nawashukuru sana
 
Habari wakuu;
Kama kichwa cha havbari kinavyojieleza, nina nyumba yangu yangu ambayo niliijenga mfululizo (non stop) hadi nahamaia, na sasa imetimia mwaka mmoja.
lakini jambo la kushangaza madirishani kunatokea mipasuko hadi inaninyima raha yaani kila dirisha la nyuma yangu lina mipasuko at least miwili ambayo inaanzia juu kushuka kwenye msingi. Kwa ufupi nyumba hii imejengwa kwenye slope kdg hivyo upande mmoja n=una kozi nane na mwingine kozi tano ila fundi hakuweka matundu ya kupumilia kwenye msingi.
Naomba nielekezwe tatizo linaweza kusababishwa na nini, na nifanye nini ili tatizo hilo lisiendelee? nawashukuru sana
Repair nyumba hiyo, ni tatizo lililopo Dar

Sio peke yako
Wanasema nyumba inasettle

Baada ya hapo nyufa zitaacha

Ndio maana dar Misingi ya nyumba inajengewa rinta wakati mikoani mfano morogoro, msingi wa nyumba hauzungushiwi hiyo rinta (yani zege yenye nondo)
 
Uliza mafundi watakwambia chanzo cha tatizo
 
Huwa wanasema ni expansion joints. Wakati wa plasta ilifaa maeneo chini ya dirisha watangulize wire mesh then plasta ndio ifunike. Fanya hivyo kupunguza tatizo.
Ili usipate kabisa tatizo hilo ilifaa baada ya kupandisha kozi nne ilipaswa ufunge mkanda nyumba nzima kama lintel.
 
Kama hukufunga mkanda kwenye msingi, ufa utafika chini lakini kama kuna mkanda, ufa utaishia kwenye mkanda...kifupi ni tatizo la nyumba nyingi hapa Dar, nyumba inasettle
 
Repair nyumba hiyo, ni tatizo lililopo Dar

Sio peke yako
Wanasema nyumba inasettle

Baada ya hapo nyufa zitaacha

Ndio maana dar Misingi ya nyumba inajengewa rinta wakati mikoani mfano morogoro, msingi wa nyumba hauzungushiwi hiyo rinta (yani zege yenye nondo)
Ukijenga msingi ni vyema ukaweka mkanda (Rinta), hii inasaidia nyumba isiwe na nyufa kwenye Boma pia inasaidia kuwa Imara

Usipoweka mkanda iwe Dar au Mkoani , Mipasuko ,sijui expansion joint ni lazima
 
Habari wakuu;

Kama kichwa cha havbari kinavyojieleza, nina nyumba yangu yangu ambayo niliijenga mfululizo (non stop) hadi nahamaia, na sasa imetimia mwaka mmoja.

lakini jambo la kushangaza madirishani kunatokea mipasuko hadi inaninyima raha yaani kila dirisha la nyuma yangu lina mipasuko at least miwili ambayo inaanzia juu kushuka kwenye msingi.

Kwa ufupi nyumba hii imejengwa kwenye slope kdg hivyo upande mmoja n=una kozi nane na mwingine kozi tano ila fundi hakuweka matundu ya kupumilia kwenye msingi.

Naomba nielekezwe tatizo linaweza kusababishwa na nini, na nifanye nini ili tatizo hilo lisiendelee? nawashukuru sana
Wachawi walitaka kuingia ndani
 
Back
Top Bottom