Utoko.......
Thankx Mkuu kama hii ni kweli japo bado nina wasiwasi na maelezo yako.
Zamani we used to sex na alikua hatokwi na utoko mwingi kiasi hiki but kwa hivi karibuni ndo nimeanza kuona mwingi zaidi kiasi kwamba hata yeye mwenyewe anashangaa sana na anaona aibu kwa hali inayomtokea.
Nilimshauri akakubali tukaenda hospital kucheck kama ana UTI ila hana kitu.
Lakini bado nina mashaka kama hii ni hali ya kawaida au ni ugonjwa ambao anao.
Gbollin zingatia hiliHali hiyo hutokea ikiwa mwanamke ni mjamzito.
So mpeleke akapime mimba.
Utandu kama maziwa ya mtindi ni kwa mwanamke ambaye hajafanya ngono kwa siku kadhaa.Kama anafanya mara kwa mara huo haupo.Hamna cha uchafu,ukiwa na mwenza wako hujakutana nae mwezi,ukaja kukutana nae na akawa huu utandu haupo ujue alikua anafanya kama kawaida.Hata mkeo mkikaa wiki lazima utaukuta huo utandu,ila kama anafanya kila siku au mara kwa mara hautakuwepo
Thankx Mkuu kama hii ni kweli japo bado nina wasiwasi na maelezo yako.
Zamani we used to sex na alikua hatokwi na utoko mwingi kiasi hiki but kwa hivi karibuni ndo nimeanza kuona mwingi zaidi kiasi kwamba hata yeye mwenyewe anashangaa sana na anaona aibu kwa hali inayomtokea.
Nilimshauri akakubali tukaenda hospital kucheck kama ana UTI ila hana kitu.
Lakini bado nina mashaka kama hii ni hali ya kawaida au ni ugonjwa ambao anao.
Mkuu sasa hapo sawa naweza kukujibu. Mwanzo uliposema wanawake wengi!!! Mbona mimi niliowapitia hawana hayo utoko.
Sasa inawezekana vitu hivi:
1. Hawezi kuisafisha vizuri papuchi yake, kwa hiyo hapa utoko utatoka na harufu mbaya.
2. Ana ute mwingi, kwahiyo ukipiga mashine tu ni lazima hii kitu itoke. Mara nyingi hakuna harufu mbaya.
3. ,........
NB. Ikiwa unampenda, nenda nae hospitali mkutane na daktari atawapa majibu na ushauri wa kitaalam ataonekana kuwa na tatizo. Hii itakusaidia pia wewe kuwa na jibu la uhakika kuwa ni nini kinamsumbua.
Kama unapiga show na shemeji anatokwa na na huo utandu basi unafanya kazi nzuri sana, hiyo ni ishara kuwa your partner anaenjoy na mko pamoja katika safari ila hakikisha mnamaliza pamoja na kwa uzoefu kuna specific styles ambazo unaweza kumfikisha huyo mpenzio huko. Huo sio uchafu na unatakiwa ufurahie coz mapenz pamoja na uchafu wake wote haviitwi uchafu. Remember only creative and clever men ndio wanaweza kuwaridhisha wapenzi wao, wengi wetu tunaishia kutoa visingizio visivyokuwa hata na kichwa wala miguuuuuuu. Tendo la ndoa ni two way game na mwisho wote tunatakiwa tuwe happy.
Ukitaka kuona hiyo makitu piga style ya mbuzi kagoma kwenda malishoni , make sure kila mmoja amekaa kwenye pozi nzuri na comfortable, yaani hakuna anayefeel amekaa vibaya na anaumia , then piga kazi taratiibuu lazima utaona hiyo maneno.Kama unapiga show na shemeji anatokwa na na huo utandu basi unafanya kazi nzuri sana, hiyo ni ishara kuwa your partner anaenjoy na mko pamoja katika safari ila hakikisha mnamaliza pamoja na kwa uzoefu kuna specific styles ambazo unaweza kumfikisha huyo mpenzio huko. Huo sio uchafu na unatakiwa ufurahie coz mapenz pamoja na uchafu wake wote haviitwi uchafu. Remember only creative and clever men ndio wanaweza kuwaridhisha wapenzi wao, wengi wetu tunaishia kutoa visingizio visivyokuwa hata na kichwa wala miguuuuuuu. Tendo la ndoa ni two way game na mwisho wote tunatakiwa tuwe happy.
Hali hiyo ni ya kawaida kwa wanawake wote. Unajua uke unajisafisha naturally through menstral period. Ukiwa umekutana na mpenzi wako mara tu baada ya kuacha ku-bleed, utakuta utando huo haupo maana damu hiyo inatoa uchafu wote ikiwa ni pamoja layer iliyojitengeneza kwenye uke wake, yai lake ambalo halikurutubishwa na shahawa zako ambazo uliziweka. Yaani chumba inakuwa safi. Lakini mki-do katikti ya mzunguko na karibibia mwisho lazima hali hiyo ya utando utaikuta tu. Labda kama anajinsi ya kujisafisha inside the vagina ambayo hairuhusiwi kitaalamu. Na kama utaukwangua kama leo effectively na akaosha externally, kesho yake hutaweza kuuona.Wakuu hodi humu,
Naomba kufahamu ni nini hasa kinasababisha wanawake (baadhi) kutokwa na utando mwingi sana wakati wa ku~do?
Mimi ni Mvulana na kitu hiki huwa kinaniboa sana tunapo~do kwani huwa unatoka mwingi sana na huwa na kama maziwa ya mtindi.
Wenye elimu kuhusu hii kitu naomba ushauri wenu Je ni ugonjwa au ni hali ya kawaida tu?