Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Nasikia hati ni miaka 33, 66 na 99. Ni kama umekodi kiwanja toka serikalini kwa miaka hiyo. Nini kinafuata baada ya hati kuexpire?
Mtu anaweza fika dau serikalini na kukutoa?
Mtu anaweza fika dau serikalini na kukutoa?