Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kuna like chizi liliwaaminisha wadanganyika kwamba linapambana na ufisadi...matokeo take kikatiba uchaguzi na kujaza kina babu Tale bungeniHili suala huwa linashangaza sana maana ni jambo ambalo linashanhaza sana.
Mikataba tata inasainiwa. Ufisadi unafanyika na mali za umma zinakwapuliwa lakini watu wanachukulia easy tu.
Wanaowaibia watanzania wanapata kiburi na dharu kuwa watanzania ni mabwege na watu wa kupigwa tu.
Epa, Kagoda , Meremeta. Obc ya Loliondogate na nyingine nyingi
Kwa nini watanzazia hawaamuki kama mataifa mengine?
Bado Giza kuu limetanda kichwani ! Watu wengi sana hawajui kama Mali za Nchi ni zao wananchi !! Wao wanajua Mali zao ni zile wanazozimiliki wao kama nyumba, shamba, au gari na familia zao tu mengine hayawahusu !! Wanakwambia ukifuatilia hayo mengine unajitafutia matatizo tu katika mambo yasiyokuhusu !! Hata humu jf huwa tunaambiwa tafuteni pesa acheni maneno !! Hiyo ndio hali halisi !!Hili suala huwa linashangaza sana maana ni jambo ambalo linashanhaza sana.
Mikataba tata inasainiwa. Ufisadi unafanyika na mali za umma zinakwapuliwa lakini watu wanachukulia easy tu.
Wanaowaibia watanzania wanapata kiburi na dharu kuwa watanzania ni mabwege na watu wa kupigwa tu.
Epa, Kagoda , Meremeta. Obc ya Loliondogate na nyingine nyingi
Kwa nini watanzazia hawaamuki kama mataifa mengine?
Kweli kabisa hakuna ! Maana Hao Hao unaojaribu kuwaamsha na kuwatetea watakuja kukudhalilisha na kukukatisha tamaa huku wakiwa wamepewa ujira mdogo sana kwa kazi hiyo !!Nani wa kumfunga paka kengele?
Hili suala huwa linashangaza sana maana ni jambo ambalo linashanhaza sana.
Mikataba tata inasainiwa. Ufisadi unafanyika na mali za umma zinakwapuliwa lakini watu wanachukulia easy tu.
Wanaowaibia watanzania wanapata kiburi na dharu kuwa watanzania ni mabwege na watu wa kupigwa tu.
Epa, Kagoda , Meremeta. Obc ya Loliondogate na nyingine nyingi
Kwa nini watanzazia hawaamuki kama mataifa mengine?
Sikiliza we sukuma gang! Zile mbinu zenu mlizotumia Rwanda na Burundi hadi kutengeneza chuki hapa mmefeli Big timeHili suala huwa linashangaza sana maana ni jambo ambalo linashanhaza sana.
Mikataba tata inasainiwa. Ufisadi unafanyika na mali za umma zinakwapuliwa lakini watu wanachukulia easy tu.
Wanaowaibia watanzania wanapata kiburi na dharu kuwa watanzania ni mabwege na watu wa kupigwa tu.
Epa, Kagoda , Meremeta. Obc ya Loliondogate na nyingine nyingi
Kwa nini watanzazia hawaamuki kama mataifa mengine?
Chuki zako kwa hayati JPM isiwe sababu za kutetea ufisadi.Acha unafiki, wakati dhalimu anatumia vibaya madaraka yake kuua nguvu ya kuhoji, na kupandikiza utamaduni wa kusifiwa, ulimuona ni bonge la mzalendo. Leo hii dhalimu hayupo huku akiwa ameua nguvu ya wananchi kuhoji, na ww ukiwa nje ya ulaji, ndio unaleta nongwa. Acha waliokuwa wanahoji hata enzi za dhalimu wahoji, ila sio ww muhuni.
NonsenseKuna like chizi liliwaaminisha wadanganyika kwamba linapambana na ufisadi...matokeo take kikatiba uchaguzi na kujaza kina babu Tale bungeni
Asante mungu
Tumia akili acha ubwegeUnataka tuingie barabarani kisa nyinyi mliokuwa mmechomeka mirija kwenye mtungi wa asali awamu iliyopita mmekatiwa mirija yenu? Huu ujinga wako baki nao nyumbani kwako! Na bado ndio kwanza mwaka wa pili nyie watekaji!
Chuki zako kwa hayati JPM isiwe sababu za kutetea ufisadi.
Unauliza jibu?Ww au dhalimu mliwahi kupinga ufisadi?
Huna jibu zaidi ya kujawa na chuki tu. Magufuli angekuwa anachukia ufisadi asingewaita watengeneza ndege na kujifungia nao ndani bila kufuata sheria za manunuzi.Unauliza jibu?
NonsenseHuna jibu zaidi ya kujawa na chuki tu. Magufuli angekuwa anachukia ufisadi asingewaita watengeneza ndege na kujifungia nao ndani bila kufuata sheria za manunuzi.
Umekatiwa mrija wako ndiyo unajishauwa na UZALENDO hapa.
Siye tulipiga kelele wewe ulisifia
Najua utatukana.