anderson mbonika
Senior Member
- Feb 28, 2017
- 112
- 56
Natumaini wote mko salama,
Kama heading unavyo jieleza na picha Kuku hawa waliuwa niwazima ila siku za hivi karibuni wameleanza kuvimba macho. Na kuhusu swala la chanjo wote wamesha pata.
Naomba ushauri wa Kitaalamu na wa kiuzoefu kwa wote ambao wamewahi kupatwa na changamoto kama hii
Naomba msaada ili niweze kuwaokoa hawa Kuku
Kama heading unavyo jieleza na picha Kuku hawa waliuwa niwazima ila siku za hivi karibuni wameleanza kuvimba macho. Na kuhusu swala la chanjo wote wamesha pata.
Naomba ushauri wa Kitaalamu na wa kiuzoefu kwa wote ambao wamewahi kupatwa na changamoto kama hii
Naomba msaada ili niweze kuwaokoa hawa Kuku