anderson mbonika
Senior Member
- Feb 28, 2017
- 112
- 56
Kuna dalili nyngne isokua uvimbe umeiona kwa hao kuku?Natumaini wote mko salama kama heading unavyo jieleza na picha kuku hawa waliuwa niwazima Ila siku za hivibkaribuni wameleanza kuvimba macho. Na kuhusu swala la chanjo site wamesha pata. Ivyo bhas kama wewe no mtaalamu au USHAwai kupatwa na tatizo kama hili kama mfugaji naomba kupata maelekezo ili niweze kuwaokoa hawa kukuView attachment 1621180
Dalili nyingine uliopo wakonna hope Hali ya kunyong'onyeaKuna dalili nyngne isokua uvimbe umeiona kwa hao kuku?
Kama kuna uvimbe yawezekana ikawa ni dalili ya infectious coryza ( mafua) angalia dalili nyngn km wanatoa maji maji ( mafua) au funua kope angalia kama kuna utando mweupe kama ni sahihi watafutie dawa ya mafuaDalili nyingine uliopo wakonna hope Hali ya kunyong'onyea
Kuhusu dawa watakuelekeza wataalam,
Ila kama kuku wamezidiwa macho hayaoni kabisa,anza huduma ya kwanza hapo ndani kwa juu kuna utando mweupe ukikamua ngozi ya juu ya jicho unatoka,ukifanikiwa msafishe vzr kwa maji vuguvugu,wkt unasubiria dawa.
Mimi sio daktari.
Ila nakumbuka baba alikuwa anafuga broiler huo ugonjwa uliingia wale kuku waliambukizana,na macho wakishindwa kuona hata kula hawali.
Mwisho wa siku wanakufa.
Pale nyumbani palijaa makaburi ya kuku unaweza ukalia.
Bila kusahau fanya kuwaatenga wanaomwa na wale ambao bado ni wazima ili kuzuia maambukiz zaidNatumaini wote mko salama kama heading unavyo jieleza na picha kuku hawa waliuwa niwazima Ila siku za hivibkaribuni wameleanza kuvimba macho. Na kuhusu swala la chanjo site wamesha pata. Ivyo bhas kama wewe no mtaalamu au USHAwai kupatwa na tatizo kama hili kama mfugaji naomba kupata maelekezo ili niweze kuwaokoa hawa kukuView attachment 1621180
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2960][emoji2960] nashukuru mkuuMimi sio daktari.
Ila nakumbuka baba alikuwa anafuga broiler huo ugonjwa uliingia wale kuku waliambukizana,na macho wakishindwa kuona hata kula hawali.
Mwisho wa siku wanakufa.
Pale nyumbani palijaa makaburi ya kuku unaweza ukalia.
Shukran mkuuuAntibiotics ztamsaidia atumie oxyvit (OTC +vitamin) .tuone mrejesho utakuaje
Shukran mkuuiyo ni infectious coryza (mafua makali ya kuku) hii inasababishwa na bacteria ambao hutokana kutoweza kusafisha banda pia na kuku kukosa hewa bandani na vitu vingine vyo ugonjwa huo unaweza kutibu kwa dawa zifuatazo tylosin na fluban
... yes, hata mie nna experience hiyo...watenge waliovimba macho, wasafishe kwa maji ya uvuguvugu yenye chumvi. Wape dawa wote wenye dalili na wasio nazoHao kuku wanaangalia sana TV.
natania.. ila pole sana huo ugonjwa ukiuzembea wataambukizana Banda zima..
Mie nilikuw nawaosha kwa maji ya chumvi yaan napasua ule uvimbe nasugua na maji ya chumvi.. wanapona