nyambaterito
Member
- Aug 11, 2022
- 51
- 46
Nimejaribu kujiulizaa, hivi akili ya mtu huwa inapimwa na nini? Mpaka inafikia mtu anakuambia hauna akili wewe. Maana ukifeli mtihani unaambiwa huna akili je mtihani ndio kipimo cha akili, ukishindwa kufanya jambo fulani pia utaambiwa huna akili🤔, Kwanini?
Hapa kwa upande wangu nachofahamu kuwa kwa upande wa shule mwanafunzi huwa tuna mjaji kwa mitihani na hiyo bado hata kama akifeli sidhani kama itakuwa sawa kusema hana akili, bali atakuwa ameshindwa tu kufaulu kwenye hiyo mitihani maana kwa upande mwengine mtu hawezi kujua masomo yote atajua baadhi tu ya hayo sasa kama ameweza kufaulu kiingereza akashindwa kufaulu hesabu bado utasema hana akili.
Pia kuna mwengine kuhusu masomo hawezi ila kuna kitu ataweza kukifanya nje ya hayo masomo tena akafanya vizuri zaidi bado utasema hana akili? Pia tukija swala la utendaji kitu fulani au kazi fani, utakuta mtu hakufanya kwa uweledi mzuri bado ataonekana hana akili je nisa hihii kusema hana akili au hana uzoefu na uweledi na hilo?😥
So ni nini haswa kipimo cha akili na kwa nini tuseme mtu hana akili?🤔🙏 Ni mawazo yangu yanayoitaji msaada.
Hapa kwa upande wangu nachofahamu kuwa kwa upande wa shule mwanafunzi huwa tuna mjaji kwa mitihani na hiyo bado hata kama akifeli sidhani kama itakuwa sawa kusema hana akili, bali atakuwa ameshindwa tu kufaulu kwenye hiyo mitihani maana kwa upande mwengine mtu hawezi kujua masomo yote atajua baadhi tu ya hayo sasa kama ameweza kufaulu kiingereza akashindwa kufaulu hesabu bado utasema hana akili.
Pia kuna mwengine kuhusu masomo hawezi ila kuna kitu ataweza kukifanya nje ya hayo masomo tena akafanya vizuri zaidi bado utasema hana akili? Pia tukija swala la utendaji kitu fulani au kazi fani, utakuta mtu hakufanya kwa uweledi mzuri bado ataonekana hana akili je nisa hihii kusema hana akili au hana uzoefu na uweledi na hilo?😥
So ni nini haswa kipimo cha akili na kwa nini tuseme mtu hana akili?🤔🙏 Ni mawazo yangu yanayoitaji msaada.