King'amuzi kijani😂Chanel10 ipo kwenye king'amuzi gani?
Ilikuwa bahati mbaya remote alishika mtoto ghafula nikashangaa naangalia Chanel Ten.Channel 10 huwa hawatangazi habari za cdm, hao ni ccm wanajitekenya na kucheka wenyewe. Hata hivyo una roho ngumu kutazama huo uchafu uitwao channel ten.
Chukua mkanda wa suruali mtandike huyo mtoto mpaka ukatike. Anataka kuleta laana ndani ya nyumba.Ilikuwa bahati mbaya remote alishika mtoto ghafula nikashangaa naangalia Chanel Ten.
Bwashee mtakuja kuwaua watoto kwa hisia za chuki 🤣🤣Chukua mkanda wa suruali mtandike huyo mtoto mpaka ukatike. Anataka kuleta laana ndani ya nyumba.
Haaaaaa anapenda katuni huwa zinarushwa na channel fakini.usiichukie sana,Leo Shaban Kissu ameteuliwa kuwa Mkurugenzi mpya labda watabadilika japo ametoka TBC kopo na mfunikoChukua mkanda wa suruali mtandike huyo mtoto mpaka ukatike. Anataka kuleta laana ndani ya nyumba.
Bwashee mtakuja kuwaua watoto kwa hisia za chuki 🤣🤣
Mkuu mpelekee chai na vitafunwa ndg.yetu Pambalu.....
Pambalu huwa anakunywa konyagi,chai huwa anachanganyikiwaBwashee mtakuja kuwaua watoto kwa hisia za chuki 🤣🤣
Mkuu mpelekee chai na vitafunwa ndg.yetu Pambalu.....
Huyo Tindo amejaa jazba tu 🤣🤣Haaaaaa anapenda katuni huwa zinarushwa na channel fakini.usiichukie sana,Leo Shaban Kissu ameteuliwa kuwa Mkurugenzi mpya labda watabadilika japo ametoka TBC kopo na mfuniko
Mtoto na siasa wapi na wapi?!!Tena hiyo adhabu niliyopendekeza ni ndogo sana, nilitaka ampe adhabu kali kuliko hiyo. Bora hata kuweka flash ya ngono utazame na mama mkwe, kuliko kutazama huo uchafu uitwao channel ten.
Pambalu yuko uraiani, au ww ni mzee nini kiasi unapoteza kumbukumbu mara kwa mara?
Ni chanel gani ina haki ya kutangaza taarifa za chama kipi??? Vyama vya upinzani inafaa vitangazwe na chanel zipi hasa, inaonekana una agenda ya kipumbavu sana.Sio utamaduni wa chombo cha utangazaji cha Chanel Ten kutangaza habari za vyama vya upinzani nchini.
Tangu wiki lililopita wamekuwa wakitangaza taarifa za Chadema wakidai wao ni wanachama wa chadema bile kujitaja wadhifa wao kichama.
Pia najiuliza juhudi ya channel Ten kuwa mstari wa mbele kuuhabarisha umma kwa kipindi hiki ambacho chadema wapo na agenda ya KATIBA MPYA.
BAVICHA TAIFA jitokezeni kutoa mwongozo wakupinga harakati za katiba mpya kuliko kila mwanachama kuwa mtazamo wake kwa kujificha kwa mavazi ya chadema huku ujumbe wao mdimoni nitofauti na vazi.
Mtoto na siasa wapi na wapi?!!
Nimeamini CHADEMA mnataka watoto wawe na siasa za "wapalestina na waisraeli" 🤣🤣
Mtoto si mtu mzima ukamuharibu "mind yake" na maandamano yasiyokoma.....ha ha ha
#KaziIendelee
Mpumbavu mwandishi asiweza kubalance story kufuata misingi ya elimu yake.Ni chanel gani ina haki ya kutangaza taarifa za chama kipi??? Vyama vya upinzani inafaa vitangazwe na chanel zipi hasa, inaonekana una agenda ya kipumbavu sana.
No wonder kiongozi wenu ana tuhuma za ugaidi.Chukua mkanda wa suruali mtandike huyo mtoto mpaka ukatike. Anataka kuleta laana ndani ya nyumba.
No wonder kiongozi wenu ana tuhuma za ugaidi.
Kama wewe mfuasi wake una liroho la kiuuaji namna hii, ni wazi chama chenu kimeshikiliwa na maziraili waandamizi.