Chacha Wangwe alitaka kugombea uenyekiti na mnajua kilichompata.Kama Mandela alivyokuwa na kesi ya ugaidi. Hivyo ugaidi wa Mbowe tunajua ni kutokana na kuisumbua ccm, hivyo mama wa kambo ametumia mbinu za kizamani kumbambikia kesi.
Ni kweli nina roho mbaya, ila haikuti ya yule dhalimu aliyeko motoni hivi sasa.
Chacha Wangwe alitaka kugombea uenyekiti na mnajua kilichompata.
Endeleeni kujikaza kisabuni. Yowe la kwanza litapasua ngoma ya sikio
Ndipo tulipofikia hapo. Kuna msemo kwamba 'nyoka huuma afikiapo'.Sio utamaduni wa chombo cha utangazaji cha Chanel Ten kutangaza habari za vyama vya upinzani nchini.
Tangu wiki lililopita wamekuwa wakitangaza taarifa za Chadema wakidai wao ni wanachama wa chadema bile kujitaja wadhifa wao kichama.
Pia najiuliza juhudi ya channel Ten kuwa mstari wa mbele kuuhabarisha umma kwa kipindi hiki ambacho chadema wapo na agenda ya KATIBA MPYA.
BAVICHA TAIFA jitokezeni kutoa mwongozo wakupinga harakati za katiba mpya kuliko kila mwanachama kuwa mtazamo wake kwa kujificha kwa mavazi ya chadema huku ujumbe wao mdimoni nitofauti na vazi.
Ni vizuri kuwazoesha watoto kuwa wakweli wangali wadogo. Chaneli zinazotoa habari za uwongo kama channel 10 au TBC, ni vizuri kumwelewesha mtoto kwa upole kuwa hazifai kuzitizama kwa sababu habari zao nyingi ni za uwongo na propaganda.
Tukitaka kulijenga Taifa lenye maadili ni vema kuwazuia watoto kuangalia vitu ambavyo havina maadili ya ukweli.
Haaaa Mseveni damudamu na TBC.Familia yangu nilishawapa maelezo na wamenielewa sana, hakuna anayetazama hizo channel maana nimewaambia habari zote humo ni za uongo.
Ahaa ahaaaa, kila muda ukisogea umri wa Museveni unapungua.Haaaa Mseveni damudamu na TBC.
Na M7 mwongo?
Mzee wangu(Rip) miaka ya huko kweusi alinipiga mno, kisa alikuta nimefungua RTD wakati ambao ni marufuku maduka kuuza bidhaa muhimu tendo lilopelekea yeye kufilisika.Chukua mkanda wa suruali mtandike huyo mtoto mpaka ukatike. Anataka kuleta laana ndani ya nyumba.