Nini kipo nyuma ya kampeni ya kutumia Gesi?

Nini kipo nyuma ya kampeni ya kutumia Gesi?

gvale

Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
96
Reaction score
99
Tumekua watu wa kurudia na kurukia kila jambo siku za hivi karibu kumekua kampeni za kuipigia chapuo kampuni moja hisa ambayo gesi majumbani ikiwa ni kampeni ya kusisitiza wananchi wa Tanzania kutumia gesi which is good ila suala linakuja kwanini hiyo kampuni.

Kwanini bwawa la JNHPP lisiongelewe juu ya kuharakishwa kukamilika kwakwe ili MW zinazozalishwa ziingizwe kwenye grid ya taifa na kutoa unafuu wa punguzo la bei ya umeme 50tsh kwa Unit kwa Watanzania kwakua network ya umeme imesambaa kwa asilimia kubwa kwa wananchi wa kawaida na wale walio vijijini kwanini iwe hii gesi ikiwa aina network yeyote hadi sasa kwa Watanzania mbali na mitungi tu au mnataka kua na monopoly campany ambayo itajikita kwenye gas ikiwa na hisa zenu?

Niwakati wa kufanya jitihada za haraka bwawa likamilike ASAP
 
Matumizi ya gesi kama ingekuwa bei ya chini ni recommended na ni rafiki wa mazingira lakini kwa bei hizo za bongo hamtoboi, na kingine sisikii wakipigia debe matumizi ya umeme kwani hakuna majiko ya umeme?

Umeme nao ungekuwa wakutosha na wa bei nafuu watu wengi wangetumia nishati hiyo lakini kwa nchi hiyo ya kusadikika again hatutoboi.
 
Matumizi ya gesi kama ingekuwa bei ya chini ni recommended na ni rafiki wa mazingira lakini kwa bei hizo za bongo hamtoboi, na kingine sisikii wakipigia debe matumizi ya umeme kwani hakuna majiko ya umeme? umeme nao ungekuwa wakutosha na wa bei nafuu watu wengi wangetumia nishati hiyo lakini kwa nchi hiyo ya kusadikika again hatutoboi.
Na ukizingatia network ya umeme ipo tayari ni suala la kushusha bei tu watu wanunue majiko na kuanza matumizi shirika ni la serikali gasi ni ya nani tunayoambiwa tutumie wajameni.
 
Ndio uwezo wa wapumbavu kufikiri na kuamua
Hapo ndipo tujue viongozi awana nia na sisi wananchi chukulia mfano
Mwanza: Kuna ziwa ila eneo kubwa halina maji ,Musoma na maeneo mengine mengi kweli kwa miaka yote tumeshindwa kua na maji ya uwakika ili hali nchi hii ni ya Milima na mabonde ya asali
 
Ili tuwe TAIFA la Gesi !!! Lengo ni kupungiza uharibifu wa mazingira.
 
Rostam Aziz, alianza kugawa mitungi ya gesi Bure Sasa amekuja na makongamano
 
Matumizi ya gesi kama ingekuwa bei ya chini ni recommended na ni rafiki wa mazingira lakini kwa bei hizo za bongo hamtoboi, na kingine sisikii wakipigia debe matumizi ya umeme kwani hakuna majiko ya umeme?

Umeme nao ungekuwa wakutosha na wa bei nafuu watu wengi wangetumia nishati hiyo lakini kwa nchi hiyo ya kusadikika again hatutoboi.
Nitumie umeme kupiga nitoke kwenye zero tarrif?
 
Leo nimepita kwa Mangi hapa dukani, nimehesabu mitungi ya gesi ya makampuni tofauti 7! :Mihan, Manji, Oryx, Taifa, Lake, Mwanza, na mwingine nimeusahau jina na hapo ni huku kijijini kwa Dar unaweza kuwa zaidi. Kila kampuni ina mkubwa flani anayeipigia debe, Taifa ni Makamba, sijuhi ya Samia ni ipi?

Alafu walivyowajinga Hawa wenye makampuni wanauza bei sawa naona wamelishana viapo vya kutoshusha bei ukishusha wabongo utaikotwa Mabwepande maana hicho ndicho wanachoweza wabongo!
 
Kwanini bwawa la JNHPP lisiongelewe juu ya kuharakishwa kukamilika kwakwe ili MW zinazozalishwa ziingizwe kwenye grid ya taifa na kutoa unafuu wa punguzo la bei ya umeme 50tsh kwa Unit kwa Watanzania
Sasa mito imekauka hayo maji ya kuzalisha umeme yatatoka wapi.
Mambo yanaendeshwa kisiasa sana.
 
Tumekua watu wa kurudia na kurukia kila jambo siku za hivi karibu kumekua kampeni za kuipigia chapuo kampuni moja hisa ambayo gesi majumbani ikiwa ni kampeni ya kusisitiza wananchi wa Tanzania kutumia gesi which is good ila suala linakuja kwanini hiyo kampuni.

Kwanini bwawa la JNHPP lisiongelewe juu ya kuharakishwa kukamilika kwakwe ili MW zinazozalishwa ziingizwe kwenye grid ya taifa na kutoa unafuu wa punguzo la bei ya umeme 50tsh kwa Unit kwa Watanzania kwakua network ya umeme imesambaa kwa asilimia kubwa kwa wananchi wa kawaida na wale walio vijijini kwanini iwe hii gesi ikiwa aina network yeyote hadi sasa kwa Watanzania mbali na mitungi tu au mnataka kua na monopoly campany ambayo itajikita kwenye gas ikiwa na hisa zenu?

Niwakati wa kufanya jitihada za haraka bwawa likamilike ASAP
Nafikili tujikite zaidi kwenye faida za kutumia gesi mkuu tukiachana na kwanini hasa katika kipindi jichi Cha mabadiliko ya tabia ya inchi
 
Hapo ndipo tujue viongozi awana nia na sisi wananchi chukulia mfano
Mwanza: Kuna ziwa ila eneo kubwa halina maji ,Musoma na maeneo mengine mengi kweli kwa miaka yote tumeshindwa kua na maji ya uwakika ili hali nchi hii ni ya Milima na mabonde ya asali
Sasa nchi yote ikiwa haina shida ya maji, sisi wenye tankers/boozers tutakula wapi?
 
una ubongo mdogo kupinga jambo jema kwa sababu za kipumbavu kisa chuki zako binafsi
 
una ubongo mdogo kupinga jambo jema kwa sababu za kipumbavu kisa chuki zako binafsi
Nadhani hujaenda deep katika kufikiri, mtoa Mada yupo sahihi kabisa...
Nguvu inayotumika kupiga debe gasi (Taifa gas) ni kubwa kuliko nguvu ya bwawa la umeme ambalo mpk Sasa limeshagharimu pesa nyingi.....
Kwa nn tusitumue nguvu kumalizia bwawa ambalo tuliambiwa ni moja Kati ya project kubwa 3 Africa nzima.. miundombinu yake ipo tayari (tanesco) na umeme wa kutosha mpk kuuza kwa nchi nyingine!?
 
una ubongo mdogo kupinga jambo jema kwa sababu za kipumbavu kisa chuki zako binafsi
Nadhani ww ni popoma kuna mtu kasema gasi si nzuri ? Ivi unajua gharama ya mtungi wa gesi ww? Je wewe unaweza promote kitu cha mtu mmoja kwa taifa ikiwa akuna punguzo lolote kwa watumiaji.. kama ni uwaribifu wa mazingira suluhisho ni gharama za umeme kupunguzwa to the maximum 90% ya Watz wapo connected na umeme Bei ya nishati ya umeme ipungue gasi still hatuwez afford
 
Sasa nchi yote ikiwa haina shida ya maji, sisi wenye tankers/boozers tutakula wapi?
Nimekuelewa kufa kufaana kwasasa tulipaswa tuwe kwenye issue za ufumbuzi katika technology na tiba ila bado tupo kwenye basic needs
 
kingine sisikii wakipigia debe matumizi ya umeme kwani hakuna majiko ya umeme?

Umeme nao ungekuwa wakutosha na wa bei nafuu watu wengi wangetumia nishati hiyo lakini kwa nchi hiyo ya kusadikika again hatutoboi.
 
Rostam Aziz na Kuna mtu atamfadhili kugombea uraisi ili aendelee kuchuma
 
Back
Top Bottom