mchanyato ni cocktail
sasa,miwa nayo hukamuliwa na kutoa juice(juice ya miwa),na miwa sio matunda. Pia,kongosho huzalisha majimaji ambayo huitwa juice ya kongosho(pancreatic juice).ingawa ya pili haitumiki kama kinywaji. Hapo utasemaje?
cc
Kishanda,
MadameX,
Queen kan,
Mjepu.
Naomba kujuzwa kiswahili cha neno "JUICE".
:high5:
Togwa au Kangara. Ukipenda unaweza ita Pingu.
Hayatuhusu, too private business
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha !!!!! Haya bana. Na wewe hayakuhusu. This is my private business.
We Buji mkorofi sana, hah; haya kwa hiyo gastric juices itakuwa maana yake nnhamirojo