Nini Kiswahili sanifu cha Majina ua watu hawa?

Nini Kiswahili sanifu cha Majina ua watu hawa?

Nkuruvi

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
623
Reaction score
647
Wadau, nifahamisheni watu hawa waweza kuwaita kwa jina gani kwa uhusiano huu.
1. Mwanaume ambaye tumeoa familia moja. (Yaani ameoa mdogo wa mke wangu), mimi namuitaje?
2. Mdogo wa kike wa Mwanaume ambaye tumeoa familia moja.
3. Wanawake ambao wameolewa familia moja (Yaani wanawake wawili wameolewa na wanaume ndugu wa familia moja) wanaitanaje?
 
Kwa kutaka neno moja sanifu watatusaidia wabobezi ila kwa namna iliyozoeleka..
Uliyeona nae sehemu moja huitwa mume mwenzio japo mimi natumia kaka

Wanawake walioolewa kwenye familia moja huitana mke mwenza

Mdogo wa mliyeoanae familia moja sijui, ila maoni binafsi ni mdogo ako, kwakua ni wakike ni dada yako.
 
Back
Top Bottom