Pre GE2025 Nini kitatokea endapo kampeni ya "No Reform No Election" ikaugwa mkono na wananchi?

Pre GE2025 Nini kitatokea endapo kampeni ya "No Reform No Election" ikaugwa mkono na wananchi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kinumbo

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
3,039
Reaction score
5,560
Mimi sio mwana siasa ila nimewaza sana endapo hii kampeni Chadema walio kuja nayo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Chadema kuelekea uchaguzi mkuu wamekuja na kampeni ya NO REFORM NO ELECTION, kampeni hii inalenga mabadiliko katika tume kuu ya uchaguzi. Ikiwa na maana bila mabadiliko hakuna uchaguzi utakao fanyika, hii ni noma sana.

Katika kampeni ambazo Chadema wamewahi kuja nazo hapo kabla hii kampeni binafsi nimeielewa na kuikubali. Chadema wanataka mabadiliko katika tume kuu ya uchaguzi, mabadiliko yatakayo fanya uchaguzi uwe wa huru na haki. Kwa mantiki hiyo inaonyesha Chadema hawana imani na tume iliyopo, je CCM watakuwa tayari kukubali kampeni yao hiyo? CCM wako kimya mpaka sasa, ila kuna msemo usemao "ukimuona kobe ameinama ujue anatunga sheria".

Chadema kupitia kampeni yao hiyo watahamasisha wananchi kutoshiriki uchaguzi mkuu endapo hakutokuwa na mabadiliko katika tume ya uchaguzi mkuu. Nawaza tu endapo wananchi wakaunga mkono kampeni hii ni nini kitatokea Tanzania? Vipi kuhusu Chadema plan B na C katika kampeni yao ni ipi endapo wananchi wasipo unga mkono hiyo kampeni.

Wananchi walio wengi wanapenda sana mabadiliko yatokee changamoto ipo hapo kwenye kufanya hayo mabadiliko. Chadema wamewaza kitu kikubwa sana, kuliko zile kampeni za kuandamana ambazo wamekuwa wakifanya bila kuzaa matunda sasa wamekuja na idea kubwa. Hii kampeni haina cha kuandamana, kama kutakuwa hakuna mabadiliko yoyote wananchi watatakiwa kuto kwenda katika vituo vya kupigia kura.

Hivi ikatokea wananchi wakagoma kweli kwenda kupiga kura kipi kitatokea, karibuni katika mdahalo.
 
No reform, No election ni kampeni ambayo kwa uelewa wa juu juu unaweza usielewe na ukaona haina mashiko. Lakini amini kwamba ni kampeni ambayo ukiitafakari kwa makini imebeba maana na mabadiliko makubwa sana katika nchi hii.

Kama watanzania tutaamua kuacha unafiki na kuunga mkono kampeni hii basi itakuwa ni moja ya hatua kubwa tumepiga kama nchi. Tumekuwa waoga katika maandamo sasa tumeletewa jambo ambalo halito husisha maandamo. Tundu Lissu na wenzake wamefikiria jambo kubwa na muhimu.

Kampeni hi naiona ngumu pia endapo Chadema itaamua kuwategemea wananchi pekee, inapaswa vyama vyote viunge kampeni hii. Endapo vyama vyote vikaunga kampeni hii basi bila shaka kampeni hiyo itapita. Maana Chadema wanaweza gomea uchaguzi wakati vyama vingine vikashiriki inakuwa haina maana tena, hivyo Chadema inapaswa kuzungumza na vyama vyote.

Na endapo kampeni hii ikapita na tume huru ya uchaguzi ikafanyiwa mabadiliko, nawashauri Chadema wamsimamishe John Heche katika nafasi ya kuwania urais. John Heche ni kiongozi makini na mwenye uzalendo wa kweli, ni kiongozi ambaye ukimsikiliza moyoni unajisemea huyu anafaa kuwa kiongozi mkubwa katika nchi hii. Chadema wasikosee hapo

Kwenye swali lako, kama ikitokea hiyo kampeni ikapita basi kutatokea mabadiliko makubwa mno ambayo hayajawahi kutokea hapo kabla. Kama yale mabadiliko yalitokea Korea enzi za Sambog, kila kitu kitabadilika. Pia unapaswa ujiulize endapo isipo kubalika Chadema watachukua hatua zipi.
 
Mimi sio mwana siasa ila nimewaza sana endapo hii kampeni Chadema walio kuja nayo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Chadema kuelekea uchaguzi mkuu wamekuja na kampeni ya NO REFORM NO ELECTION, kampeni hii inalenga mabadiliko katika tume kuu ya uchaguzi. Ikiwa na maana bila mabadiliko hakuna uchaguzi utakao fanyika, hii ni noma sana.

Katika kampeni ambazo Chadema wamewahi kuja nazo hapo kabla hii kampeni binafsi nimeielewa na kuikubali. Chadema wanataka mabadiliko katika tume kuu ya uchaguzi, mabadiliko yatakayo fanya uchaguzi uwe wa huru na haki. Kwa mantiki hiyo inaonyesha Chadema hawana imani na tume iliyopo, je CCM watakuwa tayari kukubali kampeni yao hiyo? CCM wako kimya mpaka sasa, ila kuna msemo usemao "ukimuona kobe ameinama ujue anatunga sheria".

Chadema kupitia kampeni yao hiyo watahamasisha wananchi kutoshiriki uchaguzi mkuu endapo hakutokuwa na mabadiliko katika tume ya uchaguzi mkuu. Nawaza tu endapo wananchi wakaunga mkono kampeni hii ni nini kitatokea Tanzania? Vipi kuhusu Chadema plan B na C katika kampeni yao ni ipi endapo wananchi wasipo unga mkono hiyo kampeni.

Wananchi walio wengi wanapenda sana mabadiliko yatokee changamoto ipo hapo kwenye kufanya hayo mabadiliko. Chadema wamewaza kitu kikubwa sana, kuliko zile kampeni za kuandamana ambazo wamekuwa wakifanya bila kuzaa matunda sasa wamekuja na idea kubwa. Hii kampeni haina cha kuandamana, kama kutakuwa hakuna mabadiliko yoyote wananchi watatakiwa kuto kwenda katika vituo vya kupigia kura.

Hivi ikatokea wananchi wakagoma kweli kwenda kupiga kura kipi kitatokea, karibuni katika mdahalo.
Wa kijani watakuja na propaganda za kwamba wao walitaka mabadiliko ila wakati haukufika, Sasa wakati ndio huu sm hoyeee! Tlaahtlaah, Mwashambwa mpo?
 
Mimi sio mwana siasa ila nimewaza sana endapo hii kampeni Chadema walio kuja nayo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Chadema kuelekea uchaguzi mkuu wamekuja na kampeni ya NO REFORM NO ELECTION, kampeni hii inalenga mabadiliko katika tume kuu ya uchaguzi. Ikiwa na maana bila mabadiliko hakuna uchaguzi utakao fanyika, hii ni noma sana.

Katika kampeni ambazo Chadema wamewahi kuja nazo hapo kabla hii kampeni binafsi nimeielewa na kuikubali. Chadema wanataka mabadiliko katika tume kuu ya uchaguzi, mabadiliko yatakayo fanya uchaguzi uwe wa huru na haki. Kwa mantiki hiyo inaonyesha Chadema hawana imani na tume iliyopo, je CCM watakuwa tayari kukubali kampeni yao hiyo? CCM wako kimya mpaka sasa, ila kuna msemo usemao "ukimuona kobe ameinama ujue anatunga sheria".

Chadema kupitia kampeni yao hiyo watahamasisha wananchi kutoshiriki uchaguzi mkuu endapo hakutokuwa na mabadiliko katika tume ya uchaguzi mkuu. Nawaza tu endapo wananchi wakaunga mkono kampeni hii ni nini kitatokea Tanzania? Vipi kuhusu Chadema plan B na C katika kampeni yao ni ipi endapo wananchi wasipo unga mkono hiyo kampeni.

Wananchi walio wengi wanapenda sana mabadiliko yatokee changamoto ipo hapo kwenye kufanya hayo mabadiliko. Chadema wamewaza kitu kikubwa sana, kuliko zile kampeni za kuandamana ambazo wamekuwa wakifanya bila kuzaa matunda sasa wamekuja na idea kubwa. Hii kampeni haina cha kuandamana, kama kutakuwa hakuna mabadiliko yoyote wananchi watatakiwa kuto kwenda katika vituo vya kupigia kura.

Hivi ikatokea wananchi wakagoma kweli kwenda kupiga kura kipi kitatokea, karibuni katika mdahalo.
Ikiungwa mkno akapita bila kupingwa tutaokoa maokoto
 
Kampeni hii imefeli kabla ya kuanza rasmi.....

Nawashauri viongozi wa CDM wangewekeza kwenye kushiriki uchaguzi na kulinda kura

Lissu anaingiza chama mtaroni mchana kweupe.
Tupunguze mihemko na tujipange kuleta mabadiliko kwa mbinu bora zaidi.
 
Kususia uchaguzi ni upunguani hasa ktk Nchi zetu hizi, chauma,cuf, nccr,na hao serikali ya muungano lazima wagombee.. niliyajua haya kabla Tal hakupaswa kupewa chama. Ona hata hiyo ruzuku inaenda kupotea.
 
Kwa tume hii ata wakilinda vipi hizo kura hawatoboi mbele ya ccm, wanacho dai ni sahihi.
Kampeni hii imefeli kabla ya kuanza rasmi.....

Nawashauri viongozi wa CDM wangewekeza kwenye kushiriki uchaguzi na kulinda kura

Lissu anaingiza chama mtaroni mchana kweupe.
Tupunguze mihemko na tujipange kuleta mabadiliko kwa mbinu bora zaidi.
 
Kwa tume hii ata wakilinda vipi hizo kura hawatoboi mbele ya ccm, wanacho dai ni sahihi.
Kwa namna CCM walivyo chama dola uchaguzi utafanyika na hamna kitu watu watafanya.

Lissu anategemea wahisani waibane CCM kuwe na uchaguzi huru. Hii kitu kwa muda uliobaki ni ngumu
Hakuna nchi iliwekewa vikwazo kwa kuiba uchaguzi.
Ccm hawajagusa maslahi ya mabepari wapo safe.

Wananchi wamelala fofofofo wanaenda kwenye kampeni kucheza singeli.

Kiufupi nchi haipo serious.
 
Kwa tume hii ata wakilinda vipi hizo kura hawatoboi mbele ya ccm, wanacho dai ni sahihi.
Sahihi sana. Mambo yangebaki kama yalipoishia awamu ya nne basi CHADEMA angalau wangekuwa na sababu kidogo ya kushiriki uchaguzi.

Lakini tangu mtawala wa awamu ya Tano alipoaamua yeye binafsi kupanga matokeo ya chaguzi zote, uchaguzi umepoteza maana yote! Rais anapokuwa na kauli kuhusu ya mwisho kuhusu nani awe mbunge na nani asiwe; chama fulani kiwe na wabunge wangapi, kwenye majimbo gani na kina nani specifically, hiyo ni zaidi ngoma ya kigodoro!

2020 kabla ya uchaguzi habari zilienea sana kuhusu watu (wabunge) ambao hawatarudi bungeni (kwa uamuzi wa Rais). Na vyama gani vinaweza hata kupotezwa kabisa visiwe na uwakilishi bungeni. Hata Polisi walikuwa wanajua nani anatakiwa kushinda na nani hatakiwi (rejea kadhia ya OCD wa Hai na Mbowe). Awamu ya Sita imeonyesha dhahiri kufuata nyayo kwa uchaguzi wa 2024. Ile kauli ya kuunga kijiko cha chai kwenye Ziwa inazidi kuwa real. Ustaarabu ulipotea kitambo sana.

CHADEMA wakikubali kuingia kwenye uchaguzi na status quo, wasijeshangaa kukuta hata kiti cha Aidan kimechukuliwa wamebaki na sifuri na kejeli kibao kuwa waliridhia wenyewe uchaguzi ufanyike hivyo hivyo wakiamini kwamba safari hii serikali na CCM watakuwa wastaarabu zaidi! Kuingia kwenye uchaguzi kwa matumaini ya ruzuku kubwa na nafasi ya KUB ni ubatili na ndoto za Alnacha. Bora wakomae na No Reform, No election iwepo tabu ya kutosha katika kuhalalisha dhulma ya uchaguzi.
 
Sahihi kabisa, je hii kampeni itafanikiwa?
Sahihi sana. Mambo yangebaki kama yalipoishia awamu ya nne basi CHADEMA angalau wangekuwa na sababu kidogo ya kushiriki uchaguzi.

Lakini tangu mtawala wa awamu ya Tano alipoaamua yeye binafsi kupanga matokeo ya chaguzi zote, uchaguzi umepoteza maana yote! Rais anapokuwa na kauli kuhusu ya mwisho kuhusu nani awe mbunge na nani asiwe; chama fulani kiwe na wabunge wangapi, kwenye majimbo gani na kina nani specifically, hiyo ni zaidi ngoma ya kigodoro!

2020 kabla ya uchaguzi habari zilienea sana kuhusu watu (wabunge) ambao hawatarudi bungeni (kwa uamuzi wa Rais). Na vyama gani vinaweza hata kupotezwa kabisa visiwe na uwakilishi bungeni. Hata Polisi walikuwa wanajua nani anatakiwa kushinda na nani hatakiwi (rejea kadhia ya OCD wa Hai na Mbowe). Awamu ya Sita imeonyesha dhahiri kufuata nyayo kwa uchaguzi wa 2024. Ile kauli ya kuunga kijiko cha chai kwenye Ziwa inazidi kuwa real. Ustaarabu ulipotea kitambo sana.

CHADEMA wakikubali kuingia kwenye uchaguzi na status quo, wasijeshangaa kukuta hata kiti cha Aidan kimechukuliwa wamebaki na sifuri na kejeli kibao kuwa waliridhia wenyewe uchaguzi ufanyike hivyo hivyo wakiamini kwamba safari hii serikali na CCM watakuwa wastaarabu zaidi! Kuingia kwenye uchaguzi kwa matumaini ya ruzuku kubwa na nafasi ya KUB ni ubatili na ndoto za Alnacha. Bora wakomae na No Reform, No election iwepo tabu ya kutosha katika kuhalalisha dhulma ya uchaguzi.
 
Kususia uchaguzi ni upunguani hasa ktk Nchi zetu hizi, chauma,cuf, nccr,na hao serikali ya muungano lazima wagombee.. niliyajua haya kabla Tal hakupaswa kupewa chama. Ona hata hiyo ruzuku inaenda kupotea.
Theruthi 2 ya waliojiandikisha kupiga kura hawapiga kura ! katika hali ya sasa,, ni akili kubwa vinginevyo ni maandamano au kuingia msituni vitu visivyowezekana kwa sasa
 
Sahihi kabisa, je hii kampeni itafanikiwa?
Haijalishi kwa vile hakuna namna. Lazima ifanyike.

Awamu ya 5 ilidhihirisha kuwa serikali inaweza kufanya chochote inachotaka hata kufutilia mbali ushindi wa wagombea wote wa chama wasichokitaka au hata kuwaweka wote mahabusu na maisha mitaani yakaendelea kama kawaida.

Awamu hii inaishi ujasiri ule ule. Lengo la kuizima CHADEMA kimoja liko pale pale. Tena hii ya TL ndio kabisa. Anayetarajia CHADEMA kupata idadi ya wabunge kama ya 2015 - au hata kukaribia, ajikague na kujihakikishia kama miguu yake yote imekanyaga ardhini.
 
Back
Top Bottom