Google great depression events; nchi zote za ulaya zilifisika kutokana na vita II ya dunia ilibidi wakopeshwe na US; hadi leo nchi hizo zinadaiwa na reserve bank of america ambayo in fact ni private company owned jews elites
In case of Tanzania options ziko tatu;
a. Kukopa kwa nchi zingine mfano US, Saudia, au China ili serikali iendelee kuishi
b. Kuuza resources zetu madini, ardhi, etc kwa muda maalum hadi hali itakapotengamaa
c. Kupunguza matumizi, kujifunga mkanda kufukuza wafanyakazi wa serikali na kupeleka madaraka vijijini (autonomy) wanawalipa wenyewe walimu wao, shule zao, barabara zao...