Kwa wanauchumi waliobobea,tunashuhudia serikali mpya ya awamu ya tano ikijitahidi kubana matumizi na kuwabana wafanyabiashara kulipa kodi ili kuongeza mapato ya nchi,nini matokeo ya hatua hizi kiuchumi kwa baadae,
karibuni wachambuzi wa uchumi tujadili.