Nini kitatokea tukikataa misaada kutoka nje na tukajipinda wenyewe?

Nini kitatokea tukikataa misaada kutoka nje na tukajipinda wenyewe?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Ndugu zangu, Nini kitatokea tukikataa misaada kutoka nje na tukajipinda wenyewe?

Tuamue kukataa misaada tujipinde wenyewe kama nchi kutafuta vyanzo vya mapato bila kumuumiza mwananchi.

Sasa hivi wametangaza matozo lakini wanazidi kukopa nje na kurequest misaada kitu ambacho ni ujinga wa hali ya juu.

Tuna madini ya kila aina tuna rasilimali za kutosha za kuwakazia mabeberu watupe share.

Haiwezekani wanachimbachimba tu kwa mirahaba ya kijinga na kodi ndogo hii nchi inahitaji kusimama kidete.

Tunatakiwa tuanze kuikataa misaada,misaada na mikopo ndo inailemaza Afrika.

Tukikataa misaada na mikopo yao tukiteseka one year tutaweza kujipinda angalieni Iran walivyojipinda hadi leo wanakula nchi ya asali na maziwa.

Hata mtoto akizoea dezo kwa kupewa mkate jibini asali na chocolate kila siku mara 5 na mpaka miaka 20 na kuendelea bado anadekezwa hawezi kuwa na akili ya kutafuta mwenyewe kamwe.

Africa ina umri mkubwa lakini inatia aibu

Adui wa maendeleo ya Africa ni misaada na mikopo na tunashindwa kuwa wabunifu kwasababu tushazoea kila kitu kinatoka kwao
 
Watu wenyewe mnatengeneza Panadol za shells tu pale. Halafu unataka ujipinde kwa lipi[emoji23][emoji23][emoji23]. Wakikwambia muanze kununua ARV si mtazika kila siku.

Kuwa mpole aliye mbele yuko mbele ukitaka kumsogelea lazima uwe mjinga kidogo ili uende nae sawa ukijifanya mbabe utalia kilio cha kusaga meno.
 
CCM haina uwezo huo na haitatokea ndani ya serikali ya CCM. Majitu majizi, mafisadi waliokubuhu.

CCM hakika dhamira njema na nchi. Amka kutoka kwenye huo usingizi unakupa ndoto za kindezi utajikuta umekojoa kitandani bure mtu mzima.
 
Ndugu zangu, Nini kitatokea tukikataa misaada kutoka nje na tukajipinda wenyewe?

Tuamue kukataa misaada tujipinde wenyewe kama nchi kutafuta vyanzo vya mapato bila kumuumiza mwananchi...
Mwenye dhamira ya dhati alikuwa Pombe Magufuli.

Waama hii mikopo(misaada) ndio kitanzi chetu
 
Ndugu zangu, Nini kitatokea tukikataa misaada kutoka nje na tukajipinda wenyewe?

Tuamue kukataa misaada tujipinde wenyewe kama nchi kutafuta vyanzo vya mapato bila kumuumiza mwananchi...
Huu ni uchochezi, wapokeaji wa misaada hawatausoma Uzi wako, goma wewe na mpenzi wako.
 
Ndugu zangu, Nini kitatokea tukikataa misaada kutoka nje na tukajipinda wenyewe?

Tuamue kukataa misaada tujipinde wenyewe kama nchi kutafuta vyanzo vya mapato bila kumuumiza mwananchi.

Sasa hivi wametangaza matozo lakini wanazidi kukopa nje na kurequest misaada kitu ambacho ni ujinga wa hali ya juu.

Tuna madini ya kila aina tuna rasilimali za kutosha za kuwakazia mabeberu watupe share.

Haiwezekani wanachimbachimba tu kwa mirahaba ya kijinga na kodi ndogo hii nchi inahitaji kusimama kidete.

Tunatakiwa tuanze kuikataa misaada,misaada na mikopo ndo inailemaza Afrika.

Tukikataa misaada na mikopo yao tukiteseka one year tutaweza kujipinda angalieni Iran walivyojipinda hadi leo wanakula nchi ya asali na maziwa.

Hata mtoto akizoea dezo kwa kupewa mkate jibini asali na chocolate kila siku mara 5 na mpaka miaka 20 na kuendelea bado anadekezwa hawezi kuwa na akili ya kutafuta mwenyewe kamwe.

Africa ina umri mkubwa lakini inatia aibu

Adui wa maendeleo ya Africa ni misaada na mikopo na tunashindwa kuwa wabunifu kwasababu tushazoea kila kitu kinatoka kwao
Kamuulize Mugabe!!
 
Hatuwezi kataa misaada sababu hatuna visionary leaders wa kuweza kutumia raslimali zetu
 
Back
Top Bottom