nini ladha ya mate

nini ladha ya mate

SILENT ACtOR

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
627
Reaction score
181
Naona watu wakikazana kumeza mate ya wenzao. Hivi yana ladha gani? Ni kama pipi, soda, au nini? Kama tamu mbona ukitemewa bahati mbaya hukasilika? Nijulisheni mwenzenu.
 
Naona watu wakikazana kumeza mate ya wenzao. Hivi yana ladha gani? Ni kama pipi, soda, au nini? Kama tamu mbona ukitemewa bahati mbaya hukasilika? Nijulisheni mwenzenu.

hapo kwenye red
kama uko over 18 ladha unaifahamu
kama uko under 18 tuambie tukufafafanulie..
 
Afadhali umedadafua.... Personally nilishindwa kabisa response for nilishindwa kumkundi...

maswali mengine
hayana kichwa wala miguu..
hii ni under 18 inafanya kazi ..
hata kizazi cha dot.com hawaulizi hivi..
 
maswali mengine
hayana kichwa wala miguu..
hii ni under 18 inafanya kazi ..
hata kizazi cha dot.com hawaulizi hivi..



Hapa I believe ni kutaka tu kuwachokoza watu hoping there will be dirty words for him to make him sleep saizi.....
 
mambo mengine hata siyo ya kuuliza. Fanya precticall utajua tu
 
Ladha yake anaijua muonjaji....jaribu uone!
 
That's a good question. I don't get why others are being dismissive of it.
 
Back
Top Bottom