kolelela
Senior Member
- Sep 2, 2013
- 173
- 33
Nashindwa kujua serikali ina malengo gani kwetu vijana wa Tanzania. Je ni kutupa ugumu wa maisha na kutaka tuendele kuichukia CCM? Au wanataka kuongeza idadi ya makahaba au tuuze unga?
Vijana wafanye nini? Tuoneeni huruma, elimu ndio msingi wa maendeleo. Wanataka tusisome lakini sijui lengo nini.
Tusikate tamaa, Mungu yupo pamoja nasi.
Vijana wafanye nini? Tuoneeni huruma, elimu ndio msingi wa maendeleo. Wanataka tusisome lakini sijui lengo nini.
Tusikate tamaa, Mungu yupo pamoja nasi.