Nini maana na asili ya neno MEKO?

Nini maana na asili ya neno MEKO?

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,250
Reaction score
1,470
Wana bodi naomba kufahamu kuhusu neno hilo ambalo limekuwa likitumika hasa katika maandiko yanayohusu siasa, neno MEKO limekuwa maarufu hadi Twitter na platform nyingi za kisiada, Mara nyingi nimekuwa nikigonga mwamba kujua Hutu ni MTU au ni eneo nchini Tanzania linaitwa MEKO.

Na nini asili ya hili neno na lina uhusiano gani na MTU anaekusudiwa au eneo linalokusudiwa?
 
Ukichangamsha macho, utamuona hapo...[emoji23][emoji23]
images.jpg
 
Wana bodi naomba kufahamu kuhusu neno hilo ambalo limekuwa likitumika hasa katika maandiko yanayohusu siasa,neno MEKO limekuwa maarufu hadi Twitter na platform nyingi za kisiada,Mara nyingi nimekuwa nikigonga mwamba kujua Hutu ni MTU au ni eneo nchini Tanzania linaitwa MEKO.

Na nini asili ya hili neno na lina uhusiano gani na MTU anaekusudiwa au eneo linalokusudiwa?
Neno meko kwa sasa linatumika kumuita mtawala fulani kwenye nchi fulani
Maana mtawala ni kauzu ndio maana hua anaitwa meko kwa kuficha jina lake halisi
 
Wana bodi naomba kufahamu kuhusu neno hilo ambalo limekuwa likitumika hasa katika maandiko yanayohusu siasa,neno MEKO limekuwa maarufu hadi Twitter na platform nyingi za kisiada,Mara nyingi nimekuwa nikigonga mwamba kujua Hutu ni MTU au ni eneo nchini Tanzania linaitwa MEKO.

Na nini asili ya hili neno na lina uhusiano gani na MTU anaekusudiwa au eneo linalokusudiwa?
Kwa sisi wataalamu wa Kiswahili tunajua Meko ni jiko,
 
Wana bodi naomba kufahamu kuhusu neno hilo ambalo limekuwa likitumika hasa katika maandiko yanayohusu siasa,neno MEKO limekuwa maarufu hadi Twitter na platform nyingi za kisiada,Mara nyingi nimekuwa nikigonga mwamba kujua Hutu ni MTU au ni eneo nchini Tanzania linaitwa MEKO.

Na nini asili ya hili neno na lina uhusiano gani na MTU anaekusudiwa au eneo linalokusudiwa?
MECCO ni brand name ya yale Makufuli ya mlangoni ( Kitasa )

Kwahiyi watu wanalitumia kama mbadala wa neno Magufuli
 
MECCO ni brand name ya yale Makufuli ya mlangoni ( Kitasa )

Kwahiyi watu wanalitumia kama mbadala wa neno Magufuli
Na pia ilikuwa ni Mwananchi Engineering and Construction Company enzi hizo, likijihusisha na ujenzi, uhandisi, na vipuri/vifaa vya ujenzi. Sasa sijui kama pia hilo jina linahusishwa na mapenzi ya kupenda kujenga jenga.
 
Na pia ilikuwa ni Mwananchi Engineering and Construction Company enzi hizo, likijihusisha na ujenzi, uhandisi, na vipuri/vifaa vya ujenzi. Sasa sijui kama pia hilo jina linahusishwa na mapenzi ya kupenda kujenga jenga.
afathali leo nimejua mana ya mecco shukran mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Wana bodi naomba kufahamu kuhusu neno hilo ambalo limekuwa likitumika hasa katika maandiko yanayohusu siasa, neno MEKO limekuwa maarufu hadi Twitter na platform nyingi za kisiada, Mara nyingi nimekuwa nikigonga mwamba kujua Hutu ni MTU au ni eneo nchini Tanzania linaitwa MEKO.

Na nini asili ya hili neno na lina uhusiano gani na MTU anaekusudiwa au eneo linalokusudiwa?
1616088556463.png
 
Back
Top Bottom