Nellyonjolo1
Senior Member
- Dec 2, 2012
- 120
- 39
Kiukweli kabisa nimeamini kuwa kila mtu anaweza akawa mwalimu kwa mwenzake na mtu akawa mjinga wa jambo fulani lakini akasita kuuliza..
Kutokana na kwamba kuuliza si ujinga, ujinga ni kuto kujua jambo, Nachukua nafasi hii KUKATAA UJINGA kuuliza jambo ambalo siku nyingi linanitatiza.
:: Nimekua nikilitumia sana na wengine kulitumia neno ASKARI KANZU, Je! ni neno sahihi na lina maana gani? kwanini limetumika neno kanzu? Je, kanzu ina usiri gani katika mavazi ::
Karibuni walimu!! kama kuna mwenye swali la kumuondolea ujinga nae anakaribishwa..
Kiukweli kabisa
nimeamini kuwa kila mtu anaweza akawa mwalimu kwa mwenzake na mtu akawa
mjinga wa jambo fulani lakini akasita kuuliza..
Kutokana na kwamba kuuliza si ujinga, ujinga ni kuto kujua jambo,
Nachukua nafasi hii KUKATAA UJINGA kuuliza jambo ambalo siku nyingi
linanitatiza.
:: Nimekua nikilitumia sana na wengine kulitumia neno ASKARI KANZU, Je!
ni neno sahihi na lina maana gani? kwanini limetumika neno kanzu? Je,
kanzu ina usiri gani katika mavazi ::
Karibuni walimu!! kama kuna mwenye swali la kumuondolea ujinga nae
anakaribishwa..