Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 200
Wadau nina maswali kadhaa naomba mnisaidie
1. ukienda kupima malaria madaktari mnaandika B/S nini maana yake?
2. Kwa nini watoto walioshikana wakati wa kuzaliwa yaani siamen twins hawaezi kula chakula cha aina moja kwa wakati mmoja?
3. Kwa nini mimba ikifika miezi minane na ikitokea mama mja mzito amejifungua mtoto hawezi kuwa mzima ni lazima atakufa, na je ni miezi minane kamili? inakuaje kwa mimba yenye miezi 8 na siku kadhaa mfano na siku 2 au 3 au zaidi?
natanguliza shukrani zangu
1. ukienda kupima malaria madaktari mnaandika B/S nini maana yake?
2. Kwa nini watoto walioshikana wakati wa kuzaliwa yaani siamen twins hawaezi kula chakula cha aina moja kwa wakati mmoja?
3. Kwa nini mimba ikifika miezi minane na ikitokea mama mja mzito amejifungua mtoto hawezi kuwa mzima ni lazima atakufa, na je ni miezi minane kamili? inakuaje kwa mimba yenye miezi 8 na siku kadhaa mfano na siku 2 au 3 au zaidi?
natanguliza shukrani zangu