Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,227
Wadau;
Nimeshuhudia baadhi ya watu wakivaa mavazi na kuweka badge ya bendera ya Taifa la Tanzania
Mfano vazi la suti alafu kunakuwa na ki badge cha bendera
Nini maana ya hii badge?
Je ni kila mtu anaweza kuivaa hio badge? kama sio ,je ni nani wanaruhusiwa kuvaa badge hiyo?
Nimeshuhudia baadhi ya watu wakivaa mavazi na kuweka badge ya bendera ya Taifa la Tanzania
Mfano vazi la suti alafu kunakuwa na ki badge cha bendera
Nini maana ya hii badge?
Je ni kila mtu anaweza kuivaa hio badge? kama sio ,je ni nani wanaruhusiwa kuvaa badge hiyo?