ndugu wanajamvi kuna misemo ming nimekua nikiisikia mtaani toka utoto wangu mpaka utu uzima wangu lakini nilikua sijali kabisa sababu nimesoma nje ya nchi kwa kipind kirefu nili hic hayaniusu kabisa nani anajua maana ya dunia tambala bovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.