Nini maana ya Flagship phone?

Nini maana ya Flagship phone?

Allydasmartboy001

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2018
Posts
604
Reaction score
218
Habari za muda huu mwez mmoja uliopita nilikuwa na samsung note 9, kuna mtu alikuja na oppo A93 kwa kuwa nilipenda ile simu nilibadilishana naye, nilipo kuja mwambia rafiki yangu mmoja alinicheka sanaa aliniambia yaani umekubali kubadilishana flagship phone na simu za kawaida bila kuongezewa hela yeyote, ile nikamuuliza flagship ndio nini yaya akaniambia hana maelezo sanaa kuhusu flagship ila tu nijue note na S series ni flagship na simu nzuri zaidi.

Sasa naombeni mnisaidie hapa maana ya flagship na sifa gani simu inatakiwa iwe nazo ili iitwe flagship? Je naweza jua Series nyingine za simu ambazo ni flagship? Mfano S na NOTE kwa samsung? Asanteni sana na kwa bajeti ya laki 8 hadi 9 simu gani nzuri naweza pata (mimi kama mimi nilikuwa na plan na iphone xs max ingawa nimeambiwa ni ndogo sana kuipata kwa hii bei)
Chief-Mkwawa T14 Armata
 
Una mahela mengi lakini kichwani huna maarifa. Kabla ya kununua kitu chochote kile ambacho ni technical kama vile simu, gari, PC na kadhalika unatakiwa utafute kwanza maarifa juu ya hicho kitu, tofauti na hapo utaishia kupigwa, kununua kitu chenye ubora mdogo kwa hela kubwa na kadhalika.
 
ukisikia flagship maana yake ni simu yenye feature zote muhimu na nzuri kabisa kwa mwaka husika.

ukitaka kujua kaka ulichemka hapo linganisha vifuatavyo.

nguvu,simu zote zinatumia muda gani kufungua na kumaliza app kubwa kubwa.

ubora wa kioo na camera,chukua zote piga picha sehem moja.

mwenzako alijua uwezo wa note 9 ndio maana hata hamkubishana.
 
Habari za muda huu mwez mmoja uliopita nilikuwa na samsung note 9, kuna mtu alikuja na oppo A93 kwa kuwa nilipenda ile simu nilibadilishana naye...


Flagship ni TOLEO KUU la simu katika kampuni husika. Kila Brand ina toleo kuu ambalo ndio linaneba maana halisi ya simu zake zenye premium features (yaani sifa za kiwango cha juu) kwa kadiri ya uwezo wao wote.

Flagship zinatoka takriban mara moja kwa kila miezi 6. Na baada ya kutoka hiyo flagship inasindikizwa na zile simu za kawaida ambazo zinatoka kwa wingi hadi Toleo lingine la flagship litakapotoka.

Mfano wa flagship;
Kwa Samsung: i.e S- series na Note- Series.
Kwa Vivo : i.e X - Series.
Kwa Xiaomi : i.e Note-Series
Kwa Huawei: i.e Mate -Series
Kwa Tecno: i.e Phantom-Series
 
Habari za muda huu mwez mmoja uliopita nilikuwa na samsung note 9, kuna mtu alikuja na oppo A93 kwa kuwa nilipenda ile simu nilibadilishana naye, nilipo kuja mwambia rafiki yangu mmoja alinicheka sanaa aliniambia yaani umekubali kubadilishana flagship phone na simu za kawaida bila kuongezewa hela yeyote, ile nikamuuliza flagship ndio nini yaya akaniambia hana maelezo sanaa kuhusu flagship ila tu nijue note na S series ni flagship na simu nzuri zaidi.

Sasa naombeni mnisaidie hapa maana ya flagship na sifa gani simu inatakiwa iwe nazo ili iitwe flagship? Je naweza jua Series nyingine za simu ambazo ni flagship? Mfano S na NOTE kwa samsung? Asanteni sana na kwa bajeti ya laki 8 hadi 9 simu gani nzuri naweza pata (mimi kama mimi nilikuwa na plan na iphone xs max ingawa nimeambiwa ni ndogo sana kuipata kwa hii bei)
Chief-Mkwawa T14 Armata
Utofauti wa flagship na simu zingine upo kwenye Quality.

Flagship ndio simu daraja la juu.
 
Flagship kama hii
Xiaomi-Redmi-K20-Pro-Review-india.jpg
 
Habari za muda huu mwez mmoja uliopita nilikuwa na samsung note 9, kuna mtu alikuja na oppo A93 kwa kuwa nilipenda ile simu nilibadilishana naye, nilipo kuja mwambia rafiki yangu mmoja alinicheka sanaa aliniambia yaani umekubali kubadilishana flagship phone na simu za kawaida bila kuongezewa hela yeyote, ile nikamuuliza flagship ndio nini yaya akaniambia hana maelezo sanaa kuhusu flagship ila tu nijue note na S series ni flagship na simu nzuri zaidi.

Sasa naombeni mnisaidie hapa maana ya flagship na sifa gani simu inatakiwa iwe nazo ili iitwe flagship? Je naweza jua Series nyingine za simu ambazo ni flagship? Mfano S na NOTE kwa samsung? Asanteni sana na kwa bajeti ya laki 8 hadi 9 simu gani nzuri naweza pata (mimi kama mimi nilikuwa na plan na iphone xs max ingawa nimeambiwa ni ndogo sana kuipata kwa hii bei)
Chief-Mkwawa T14 Armata
Aisee pole sana. Unabadilishana note 9 na oppo😊😊.
Information is power
 
Una mahela mengi lakini kichwani huna maarifa. Kabla ya kununua kitu chochote kile ambacho ni technical kama vile simu, gari, PC na kadhalika unatakiwa utafute kwanza maarifa juu ya hicho kitu, tofauti na hapo utaishia kupigwa, kununua kitu chenye ubora mdogo kwa hela kubwa na kadhalika.
Hamna kaka hatuna hela sema tu hatujui vitu ndio maana nikaja kwa wajuz kama nyie
 
Flagship ni TOLEO KUU la simu katika kampuni husika. Kila Brand ina toleo kuu ambalo ndio linaneba maana halisi ya simu zake zenye premium features (yaani sifa za kiwango cha juu) kwa kadiri ya uwezo wao wote.

Flagship zinatoka takriban mara moja kwa kila miezi 6. Na baada ya kutoka hiyo flagship inasindikizwa na zile simu za kawaida ambazo zinatoka kwa wingi hadi Toleo lingine la flagship litakapotoka.

Mfano wa flagship;
Kwa Samsung: i.e S- series na Note- Series.
Kwa Vivo : i.e X - Series.
Kwa Xiaomi : i.e Note-Series
Kwa Huawei: i.e Mate -Series
Kwa Tecno: i.e Phantom-Series
Kwan mate na p series ipi ndio flagship kwa huawei
 
ukisikia flagship maana yake ni simu yenye feature zote muhimu na nzuri kabisa kwa mwaka husika.

ukitaka kujua kaka ulichemka hapo linganisha vifuatavyo.

nguvu,simu zote zinatumia muda gani kufungua na kumaliza app kubwa kubwa.

ubora wa kioo na camera,chukua zote piga picha sehem moja.

mwenzako alijua uwezo wa note 9 ndio maana hata hamkubishana.
Acha tu siku hz ndio naaiona n nzito hatar
 
Umeuza nyumba umenunua mswaki wa mti au msemo mwengine umebadilishana panga la dhahabu kwa kioo Sababu umeiona taswira yako kwenye kioo ukakipenda.
 
Back
Top Bottom