Nini maana ya hisa?!

Nguyaki

Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
91
Reaction score
22
Habari wa Jf,
Naomba kwa wanaofahamu maana ya hisa.
Nimekuwa naskia mtu anauza HISA kwenye kampuni au Bank
Pia saccoss wanasema sana kuhusu hisa,what is it?
 
Salaam,

Naomba fuatilia hapa then uulize lolote kuhusu hisa kuanzia hapo mkuu.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-biashara-na-uchumi/570244-msaada-jamani.html

Mjadala huu tuliuendesha hapa jukwaani.

Deus.

Asante sana mkuu,
Nimeelewa kwa sehemu
Kwamba HISA au share ni pesa zako unazowekeza kenye kampuni ili upate
gawio katika muda mliokubaliana kama ni mwezi au mwaka.pia unakuwa sehemu
ya umiliki wa kampuni ile(japo sijaelewa vizuri hapo,kama ni kwenye vikao vya kampuni?).
Hebu nieleweshe hizo hisa zinazouzwa 250,500 nk,bila shaka moja haitatosha wewe kupata
gawio.sasa ngapi inatosha kupata gawio angalao 1%?
Kama mwanahisa unapaswa kushirikishwa faida inapoongezeka au unapewa ile mliokubaliana
awli?Hisa lazima iwe pesa tu au yaweza kuwa kitu kingine?mambo gani ya msingi mwanahisa
anapaswa kushirikishwa?
 

Naamini nitakuwa nimejaribu kukupa japo mwanga ktk suala hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…