SILENT WHISPER
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 2,209
- 822
Nilikuwa na infection ambayo niliandikiwa matibabu ya Cipro kwa wiki tatu. Matokeo yake hiyo dawa imenisababishia side effect mbaya sana ijulikanayo kama C. Dificile na pia kuwashwa na ngozi kama nachomwa na sindano.
Naomba msaada wa kutibu ugonjwa huu maana kila nikienda hospitali naandikiwa Flagy ambayo haijanisaidia.
Nimeambiwa tiba sahihi inaitwa Fecal Transplant.Kama kuna mtaalamu wa kutibu ugonjwa huu tafadhali naomba msaada wako.
Thanx in advance.
mkuu ipo hivi...
kwenye utumbo wa binadamu kuna bacteria ambao wanatusaidia kukua hua wanaitwa normal flora, hawa bacteria wapo kwa kiasi fulani hawatakiwi wazidi au wapungue
c. difficile ni moja ya hao bacteria, sasa baada ya kunywa hiyo antibiotic uliyopewa mara ya kwanza cipro iliishia kuuwa hao normal flora na ikaruhusu hao c. difficile kuzaliana zaidi..
hawa c. difficile wakiwa wengi husababisha ugonjwa unaitwa pseudomambranous colitis ndo huko kuumwa kwa tumbo unakosikia...
tiba ilikua ni kuacha hiyo dawa ( cipro ) mapema ila inaonekana hukufanya hivyo na demage imekua kubwa ndo maana daktari wako amekwambia tiba sahihi ni fecal transplant...
rudi kwa daktari akupe maelekezo zaidi ya hiyo tiba..
hiyo flagile unayotumia sasa hivi ni ya kuua hao c. difficile
mkuu ipo hivi...
kwenye utumbo wa binadamu kuna bacteria ambao wanatusaidia kukua hua wanaitwa normal flora, hawa bacteria wapo kwa kiasi fulani hawatakiwi wazidi au wapungue
c. difficile ni moja ya hao bacteria, sasa baada ya kunywa hiyo antibiotic uliyopewa mara ya kwanza cipro iliishia kuuwa hao normal flora na ikaruhusu hao c. difficile kuzaliana zaidi..
hawa c. difficile wakiwa wengi husababisha ugonjwa unaitwa pseudomambranous colitis ndo huko kuumwa kwa tumbo unakosikia...
tiba ilikua ni kuacha hiyo dawa ( cipro ) mapema ila inaonekana hukufanya hivyo na demage imekua kubwa ndo maana daktari wako amekwambia tiba sahihi ni fecal transplant...
rudi kwa daktari akupe maelekezo zaidi ya hiyo tiba..
hiyo flagile unayotumia sasa hivi ni ya kuua hao c. difficile