T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Ndiyo nilikuwa sijui kabisa maana yake na nilikuwa nasikia tu kifo cha mende!!
haya bhana mi nikupe hongera kwa hilo!!!
Ndo hiyo.......
View attachment 184460
huyo mende amekufa au ni mzima?
poa mkuu......mzima lakini?
Mzima huyo, humuoni au??
wataishia kuiona tu na kamwe hawatoweza kuuingiaMgongo chini tumbo juu ndio maana halisi ya kifo cha mende. Inaelekea hawa wadudu wakikaribia kufa hujigeuza hivyo ili waweze kuona vizuri mbinguni 🙂🙂
Ndiyo, mende anapokufa miguu inacheza cheza
Ama kweli mende ni wabunifu. Zinduna ukilazwa kikifokifo cha mende afu mende mzima akafanya upako.... Utasahau kurudi Zenji nakuapia.Ndo hiyo.......
View attachment 184460
Ndo hiyo.......
View attachment 184460
huyo mende mbona kama anazama uvinza?