Kufanya kitu kwa kadri ya uwezo wako,mfano mtu ana mguu mmoja hivyo hawezi kutembea kama mtu mwenye miguu miwili,hivyo itamlazimu kutumia gongo upande mmoja,lakini atatembea na atafika kule alipofika mwenye miguu miwili,huo ni mfano tu!! Ni vitu vinavyofanana na hivyo.