Nini maana ya 'kutumia nyota mtu'?

Head current

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
479
Reaction score
128
wakuu poleni na majukumu,

kumekuwa na kauli za watu mbalimbali kuwa, flani anatumia nyota ya flani, mara huyu a
nasafiria nyota ya flani, je nini maana halisi ya hili neno? na je mtu atajuaje kuwa nyota yake inatumiwa na mwingine? au ni uzushi tu wa mtaani?
 
Iko hivi,tunapozungumzia nyota hua tunakusudia bahati ya kufanikiwa jambo kwa kila ulifanyalo unafanikiwa(kwa uwezo wa Mwenyezimungu) kwa namna moja ama nyingine kuna watu wataiga ukifanyacho ili nao wafanikiwe na hawafanikiwi kwakua hawana nyota za mafanikio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…