B bievinii JF-Expert Member Joined May 12, 2021 Posts 712 Reaction score 736 Jul 10, 2021 #1 Wajuzi mniambie maana ya hi methali "Lila na fila hazitangamni"
Vitalis Msungwite JF-Expert Member Joined May 11, 2014 Posts 3,292 Reaction score 7,867 Jul 11, 2021 #2 Utangamano ni Kama upatano, ushirikiano, upatano. Wanaposema Lila na fila havitangamani humanisha ubaya na wema havipatani.
Utangamano ni Kama upatano, ushirikiano, upatano. Wanaposema Lila na fila havitangamani humanisha ubaya na wema havipatani.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 11, 2021 #3 Ngoja waje kukupa muongozo...
Sidi J Member Joined Mar 13, 2017 Posts 45 Reaction score 49 Jul 20, 2021 #4 Kutangamana= kukaa pamoja/kupatana Lila na fila ni maneno ya kibantu Lila= lile Fila = vile Kwahiyo kwa Kiswahili cha kawaida inaweza kusomeka "Lile na Vile havikai pamoja" Lila ikiwakilisha mtu mbaya/aliyetengwa (eg.lile lijamaa) Fila ikiwakilisha watu wengine wazuri (wao) Kwahiyo maana ya "Lila na fila havitangamani" inaweza kuwa 1. Wabaya na wazuri hawakai pamoja 2. Vibaya na vizuri havishabihiani
Kutangamana= kukaa pamoja/kupatana Lila na fila ni maneno ya kibantu Lila= lile Fila = vile Kwahiyo kwa Kiswahili cha kawaida inaweza kusomeka "Lile na Vile havikai pamoja" Lila ikiwakilisha mtu mbaya/aliyetengwa (eg.lile lijamaa) Fila ikiwakilisha watu wengine wazuri (wao) Kwahiyo maana ya "Lila na fila havitangamani" inaweza kuwa 1. Wabaya na wazuri hawakai pamoja 2. Vibaya na vizuri havishabihiani