Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hujaelewa nilicho uliza. Namaanisha huwa tunaulizana sana,nini maana Sayansi au nini maana ya Lugha. Sasa swali langu ni je nini maana ya hili tamko "Maana".MAANA ni chakula walichokula wana waisrael walipokuwa jangwani kuelekea nchi ya ahadi.
yaani ni kutujazia saver tu hapaNaona hujaelewa nilicho uliza. Namaanisha huwa tunaulizana sana,nini maana Sayansi au nini maana ya Lugha. Sasa swali langu ni je nini maana ya hili tamko "Maana".
Hii ndiyo ingetakiwa iwe maada..! Nami nimekujibu vile ili uleweke..Naona hujaelewa nilicho uliza. Namaanisha huwa tunaulizana sana,nini maana Sayansi au nini maana ya Lugha. Sasa swali langu ni je nini maana ya hili tamko "Maana".
Unazungumzia mana au manna, sio maanaMAANA ni chakula walichokula wana waisrael walipokuwa jangwani kuelekea nchi ya ahadi.
Tafsiri yake ni kuelezea jambo fulani au kutambulika kama jambo fulani ndio. Ndio tafsiri ya maana..Nadhan kwa kias nimeelewekaSwali liko wazi,mwenye kujua maana ya maana atueleze.
Hapana mkuu, ile inaitwa mana na sio maana.MAANA ni chakula walichokula wana waisrael walipokuwa jangwani kuelekea nchi ya ahadi.
Asante mkuu nilikuwa sijuiHapana mkuu, ile inaitwa mana na sio maana.
Poa nimekuelewa kiongozi. Ila kuna watu walikuwa weshanielewa kiasi ambacho nilikuwa sina haja ya kuleta ufafanuzi wa ziada,kwani uwazi ni sawa sawa na kutokuwa na haja ya kuelezea maji nini kutokana na umaarufu wake yake japokuwa kwa undani zaidi tunaweza kuelezea maji ni nini.Hii ndiyo ingetakiwa iwe maada..! Nami nimekujibu vile ili uleweke..