Nini maana ya maisha?

Kila mtu anaishi kwa sababu zake binafsi. Shida tunaishi maisha ambayo sio halisi inakua ni ngumu sana kujitambua, fanya meditation , angalia mlo wako unaokula, kuwa na upendo , fanya kila kitu kwa kiasi utajipata na utajua sababu ya wewe kuishi kwenye mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…