Nini maana ya mchezaji kuitwa "professional player"?

Nini maana ya mchezaji kuitwa "professional player"?

Twinawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
2,431
Reaction score
5,336
Naomba kujua maana ya proffessional player .

Sifa zipi zinamfanya mchezaji kua proffessional?

Kuna wachezaji proffessional na asiyekua proffessional kwenye team moja?

Katika lugha ya kiswahili proffessional player tunamwitaje?

Pale yanga na simba nani proffessional na nani sio proffessional?

Sifa ipi inaweza kukufanya usiwe tena proffessional baada ya kua proffessional?

Kwenye team za taifa kuna professionalism?
 
Kwenye michezo kuna ridhaa na proffessional,
Navyofahamu mm
Pro.....ni yule mwenye mkataba rasmi na ni ajira yake.
Ridhaa.....ni hakuna mkataba rasmi na mtu anafanya huku akiendelea na mambo mengine mfano ndondo.
Japo kibongo bongo. Wakisema pro,huwa wanamaanisha yule wakigeni.
 
Naomba kujua maana ya proffessional player .

Sifa zipi zinamfanya mchezaji kua proffessional?

Kuna wachezaji proffessional na asiyekua proffessional kwenye team moja?

Katika lugha ya kiswahili proffessional player tunamwitaje?

Pale yanga na simba nani proffessional na nani sio proffessional?

Sifa ipi inaweza kukufanya usiwe tena proffessional baada ya kua proffessional?

Kwenye team za taifa kuna professionalism?
Nachojua Mchezaji Kama Mukoko hana sifa ya kua Professional Player
 
Kwenye michezo kuna ridhaa na proffessional,
Navyofahamu mm
Pro.....ni yule mwenye mkataba rasmi na ni ajira yake.
Ridhaa.....ni hakuna mkataba rasmi na mtu anafanya huku akiendelea na mambo mengine mfano ndondo.
Japo kibongo bongo. Wakisema pro,huwa wanamaanisha yule wakigeni.
Kama kwa kigezo cha mkataba wachezaji wote ni pro
 
Back
Top Bottom