Nini maana ya meditation? Faida zake na je ni ngumu au rahisi kiasi gani ku-practise?

Nini maana ya meditation? Faida zake na je ni ngumu au rahisi kiasi gani ku-practise?

Benbulugu

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2016
Posts
852
Reaction score
1,236
Katika pitapita zangu za maisha nimepata kusikia juu ya hili jambo meditation, nimepitia pia videos mbalimbali YouTube za Buddha kuhusu hili jambo, bahati mbaya sana huwa natoka kapa au bilabila bila kuelewa kitu, zaidi huwa naona watu wamekunja miguu kama wanakula jamvini/mkekani.

Pia, nimewahi kupata msikia Dkt Elive Vid wa Miniani akigusia hili suala katika mafundisho yake pale Chomoza TV bila mafanikio ya kumuelewa.

Kwa vile Jamii Forums ni kisima cha maarifa nikaona si vyema kukaa na kitu rohoni bila kujua pengine ni cha muhimu sana, karibuni ndugu zangu wa hapa JF, nipate kuelimika juu ya meditation, natanguliza shukurani!!
 
Meditation,the real meditation,maana yake kama umesoma passage au umesikiliza hotuba: umesikiliza hotuba ya Mh. Mbowe. Hiyo ndiyo steji(hatua) ya kwanza ya meditation,ambayo inaitwa "dharana",yaani,kusikiliza
Hatua ya pili,"manana", maana take unaitafakari habari Ile uweze kujua jambo gani linesemwa,ili uweze kumjibu mtu anayekuukiza,"Sikuhudhuria ule Mkutano,Mbowe alisema nini pale?". Kwa hiyo hii steji ya pili inakuwezesha kuisimulia Ile habari.

Steji ya tatu,nidhyiasana", ndiyo meditation proper,: katika yale mambo aliyosema Mbowe,ni jambo gani limekufurahisha au limekushangaza,au in any way has attracted your attention na unalitafakari zaidi.

Kwa hiyo unapoanza meditation unaamua kabla,muda huu,nitasoma passage au nitaisikiliza. Kwa muda huu nitajaribu kuelewa nililosoma. Halafu,baadaye,kwa dakika kumi,au dakika ngapi,nitachagua jambo moja ambalo nadhani napaswa kuliwekea mkazo.
 
Meditation maana yake,akili yako inafikiria mambo mengi sana,one after the other. The mind can only think of one thing at a time. Sasa,ukichagua topic moja katika hizo,mada moja,na ukiiitafakari hiyo tu,hiyo ndiyo meditation. Kwamba,akili ilikuwa inafikiria mambo mengi,na wewe umeamua itafikiria jambo moja tu.

Kwa kawaida utalichagua lile jambo unalotaka kulitafakari,na you will focus the attention on yourself,na utalitafakari. Hiyo ni steji ya kwanza ya meditation, unatafakari on whatever it you have decided upon,while focussing the attention on yourself.

Steji ya pili ,unaendelea na meditation,by removing attention from yourself,and transferring it to the subject of meditation. Hakuna umimi katika meditation. Kama ulianza meditation kwa kuifikiria mada 80 per cent na kujifikiria wewe 20 per cent,unaendelea na meditation kwa kuifikiria mada 100 per cent. Ndiyo hapo meditation wakati mwingine inaitwa absorption,yàani unazama kabisa katika mada.

Umesikia labda Ile stori,Isaac Newton alikuwa busy katika kazi, halafu rafiki yake akaja,akala chakula ambacho Newton alikuwa amewekewa. Halafu Newton alipozinduka,akaona chakula kimeliwa,akawaza,labda nimeshakula tayari,mbona chakula hakipo,akarudi tena katika kazi yake.
 
Au meditation maana yake unaacha kumfikiria mpenzi wako na badala yake unamfikiria Yesu au Muhammad. That would be a revolutionary way to think. Nadhani siyo wengi ambao wako tayari kufanya hivyo
 
Tafakari ina sehemu nne tofauti:

l. Sehemu ya kwanza ni ile mazoezi ya kutafakari ambayo husaidia katika kukuza utu (true wa kweli(true personality) wa mtafakuri, na ikiwa mtu anaweza kutafakari na kukuza utu wake basi anapata maisha yenye furaha na mafanikio zaidi. Mtu anakuwa na furaha katika nyanja binafsi za maisha na anakuwa na mafanikio zaidi kwa kushirikiana na wenzake, yaani katika kazi. Kutafakari kwa mafanikio hapa pia huongeza uwezo wa kiakili.

2. Hatua ya pili ya kutafakari ni ile ambayo inafuatia moja kwa moja kutoka kwa kukamilika kwa mafanikio ya hatua ya kwanza. Hatua ya pili ya kutafakari ni ile inayoleta mwili katika upatanisho na Ruhani wako na kuleta upatanisho kati ya Ruhani wako na Manu ea taifa. Kabla ya mtu kutafakari hili, na viwango vya juu, ni muhimu kwamba mtu awe na maisha safi na yasiyo na ashiki.

3. Hatua inayofuata ya kutafakari ni ile inayompa mtu faida zote za hatua ya 1 na hatua ya 2, lakini ambayo inamwezesha mtu pamoja na kuwa na ufahamu kamili wa uchawi. Hiyo ni, mtu anapofikia hatua ya tatu ya kutafakari ana uwezo wa kufahamu na kuelewa. 150 Apperceive, bila shaka, ni tofauti na utambuzi.(perceive) Apperceive ni mtazamo wa akili kujihusu yenyewe (yote ambayo humwezesha Ruhani kuboresha hali yake ya kiroho).

4. Mwishowe, kuna tafakuri ya fumbo,(mystic meditation) inayoitwa hivyo kwa sababu iko mbali sana na dhana za kidunia hivi kwamba iko nje ya ufahamu wa wale ambao hawajafaulu kufikia hatua hiyo. Hatua ya nne ya kutafakari hutupeleka kwa Njia ya Uzi wa Fedha Silver Cord yetu) hadi kwa Ruhani wetu, na kisha kwa Njia ya Kamba ya Dhahabu ya Ruhani wetu (Golden Cord ya Ruhani wetu)hadi kwenye uwepo wa Kiumbe MKuu ambaye, kwa kukosa jina bora zaidi (for want of a better name) tutamuita 'Mungu'. Lakini hatua mbili za kwanza za kutafakari ni hatua muhimu na unapaswa kuzizingatia kwanza
 
Back
Top Bottom