I inspectorbenja JF-Expert Member Joined Oct 14, 2012 Posts 597 Reaction score 651 Jun 19, 2024 #1 Wadau habari,nakutana sana na huu msemo hata sielewi maana yake.Msaada tafadhali
BabaMorgan JF-Expert Member Joined Dec 18, 2017 Posts 4,869 Reaction score 13,137 Jun 19, 2024 #2 😂😂 sandakalawe hiyo
Mr mutuu JF-Expert Member Joined Jan 27, 2023 Posts 2,869 Reaction score 14,501 Jun 19, 2024 #3 kwa uelewa wangu inakua inahitaji marekebisho kidogo na inahitaji mtu wa kuinunua airekebishe Kisha aiuze kwa faida(walengaji ndo kazi zao hizo) Ila Madalali wa bongo akili zao wanazijua wenyewe Gari la dogo wa kihindi, gari la dada wa kiarabu, gari la baba mchungaji Yaani vurugu tupu....
kwa uelewa wangu inakua inahitaji marekebisho kidogo na inahitaji mtu wa kuinunua airekebishe Kisha aiuze kwa faida(walengaji ndo kazi zao hizo) Ila Madalali wa bongo akili zao wanazijua wenyewe Gari la dogo wa kihindi, gari la dada wa kiarabu, gari la baba mchungaji Yaani vurugu tupu....