Nini maana ya msemo mtoto kautaka? Naona umebamba sana kila kona

Nini maana ya msemo mtoto kautaka? Naona umebamba sana kila kona

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Wakuu huu msemo wa mtoto kautaka una maana gani? Jana ninerudi zangu home na wenge la kufungwa na yanga kijana wangu mdogo miaka mitano tu.

Yuko bize anaimba mtoto kautaka mtoto kautaka, sasa nikabaki namwangalia yeye yuko bize mtoto kautaka 😀

Kila kona mtoto kautaka huu msemo una maana gani?

35449D3A-9D0E-46F0-B6A3-C4AF0C2C1058.jpeg
 
Ni wimbo 😂😂😂




Uyo mtotoooooooooo 😂😂
 
Back
Top Bottom