apollo ni chombo cha kuendea mwezini,wachimbaji wa tanzanite wanajiita wanaapolo kutokana na mfanano wa mazingira ya mwezini na huko underground ambako hamna mwanga na ni masafa marefu
apollo ni chombo cha kuendea mwezini,wachimbaji wa tanzanite wanajiita wanaapolo kutokana na mfanano wa mazingira ya mwezini na huko underground ambako hamna mwanga na ni masafa marefu