John Nash Jr
Member
- Sep 13, 2018
- 54
- 59
Asalaam wakuu
Kumekuwa na mitazamo mingi na ukinzani wa fikra juu ya neno muda. Hadi sasa hakuna tafsiri wala maana moja inayoelezea neno muda ambayo imekubalika kwa wanazuoni wote.
Baadhi wanasema muda ni kipindi ambacho jambo fulani linafanyika na kujenga historia fulani ya kipekee ambacho hakijirudii kamwe. Wengine wanasema muda hauna kipimo maalum bali ni mfululizo tu wa matukio ambayo hutengeneza nyakati tofauti ili kutofautisha tukio moja na jingine.
Nataka kujua mtazamo wenu wakuu juu ya maana ya neno muda? Pia kuna uwezekano wa kuahirisha muda, vipi kuhusu uwezekano wa kwenda/kusafiri mbele au nyuma ya muda? Au muda ni fumbo tu ambalo binadamu tumefumbwa na hatulijui maana yake!
Nawasilisha
Kumekuwa na mitazamo mingi na ukinzani wa fikra juu ya neno muda. Hadi sasa hakuna tafsiri wala maana moja inayoelezea neno muda ambayo imekubalika kwa wanazuoni wote.
Baadhi wanasema muda ni kipindi ambacho jambo fulani linafanyika na kujenga historia fulani ya kipekee ambacho hakijirudii kamwe. Wengine wanasema muda hauna kipimo maalum bali ni mfululizo tu wa matukio ambayo hutengeneza nyakati tofauti ili kutofautisha tukio moja na jingine.
Nataka kujua mtazamo wenu wakuu juu ya maana ya neno muda? Pia kuna uwezekano wa kuahirisha muda, vipi kuhusu uwezekano wa kwenda/kusafiri mbele au nyuma ya muda? Au muda ni fumbo tu ambalo binadamu tumefumbwa na hatulijui maana yake!
Nawasilisha