Nini maana ya neno "Utopolo"?

Nini maana ya neno "Utopolo"?

mbenda said

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
1,084
Reaction score
2,074
Habari za kushehereke Uhuru wetu Watanzania, na wale wasiokuwa watanzania habarini za kazi.

Kuna neno limezuka hapa katikati na limekuwa maarufu sanaa hasa ktk nyanja za soka lkn mm binafsi sijajua maana yake,.

Naomba kuuliza nn maana ya neno" UTOPOLO?; maaana timu kongwe ya mpira wa miguu hapa tanzania yenye majina meeengi ya utani kwa sasa umebandikwa jina lingine na utopolo, nilijalibu kuwauliza watu kama 4 hakuna alienipa jibu la kueleweka.

Nimekuja kwetu wadau mnisaidie.

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Habari za kushehereke Uhuru wetu Watanzania, na wale wasiokuwa watanzania habarini za kazi.

Kuna neno limezuka hapa katikati na limekuwa maarufu sanaa hasa ktk nyanja za soka lkn mm binafsi sijajua maana yake,.

Naomba kuuliza nn maana ya neno" UTOPOLO?; maaana timu kongwe ya mpira wa miguu hapa tanzania yenye majina meeengi ya utani kwa sasa umebandikwa jina lingine na utopolo, nilijalibu kuwauliza watu kama 4 hakuna alienipa jibu la kueleweka.

Nimekuja kwetu wadau mnisaidie.

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
UTOPOLO ni timu isiyo na tija/maendeleo ambayo ni Yanga SC. Kwa hiyo ukisikia UTOPOLO basi juwa ni Yanga si timu nyingine.
 
Kuna tafsiri halisi ya hilo neno. Kuna yule mshabiki kindaki ndaki wa Yeboyebo FC ndio alilianzisha hilo neno siku moja yanga walipocheza mchezo mmbovu sana...Jamaa alijikuta anaropoka "Sasa hii yanga ama Utopolo?"

Hapo ndio msemaji wa Afrika Mashariki na kati the Superbrand Al Hajj Bin Sunday Manara ndipo alipolikamata kisawa sawa na kuli promote hadi leo limeshika haswa😂😂😂
 
Back
Top Bottom