Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Sijui nitaelewee... nitaeleweka kweli!
Hivyo hivyo tu.
Ukiacha ile wachezaji wa mpira kubadilisha jezi, kuna mmoja hapa bongo alilia kiatu. Nimemsahau kidogo, basi acha hiyo.
Kuna hizi zawadi mtu anapewa mfano kiatu, mtoaji anaweka saini yake. Wengine huenda mbali zaidi, hubeba vitu vyao mfano nguo na kuomba mtu fulani mashuhuri awasainie!
Ni nini hiki? Japo Bongo sijawahi kuona.
Hiyo signature inakuwa na 'thamani' gani, na vipi ukifua haifutiki?
Natanguliza shukrani.
Hivyo hivyo tu.
Ukiacha ile wachezaji wa mpira kubadilisha jezi, kuna mmoja hapa bongo alilia kiatu. Nimemsahau kidogo, basi acha hiyo.
Kuna hizi zawadi mtu anapewa mfano kiatu, mtoaji anaweka saini yake. Wengine huenda mbali zaidi, hubeba vitu vyao mfano nguo na kuomba mtu fulani mashuhuri awasainie!
Ni nini hiki? Japo Bongo sijawahi kuona.
Hiyo signature inakuwa na 'thamani' gani, na vipi ukifua haifutiki?
Natanguliza shukrani.