namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 610
Habari wadau wa Jf,
Nina kijiswali ambacho mara nyingi huwa naulizwa na watu mtaani kuhusu upungufu wa nguvu za kiume, nilijua ni swali jepesi lakini pindi ninapojibu huwa napata changamoto nyingi sana.
Leo naomba mnisaidie kujibu hili swali. Ndani ya hili swali kuna viji maswali hapo chini vilijitokeza na ndiyo vilinipa wakati mgumu wa kutoa jibu sahihi.
1. Mwanaume anapochelewa sana au kuwahi kufika kileleni huyo ana upungufu wa kitu gani?
2. Akimaliza mzunguko wa kwanza inamchukua muda mrefu kusimamisha kwa ajili ya mzunguko wa pili au ndiyo mpaka
kesho tena, huyu naya ana upungufu wa nini ?
3. Wengine mbegu zao hazina uwezo wa kusababisha mimba, huyu naye ana upungufu wa nini?
4. Wengine wanatoa shahawa kidogo sana hata mzunguko wa pili akikojoa anaishia kutoa hewa tu, hawa nao wana upungufu wa kitu gani ?Nini maana halisi ya upungufu wa nguvu za kiume? tiba zake zikoje au tiba ya kitu kimoja inaweza kutibu vyote kwa wakati mmoja ?
Nina kijiswali ambacho mara nyingi huwa naulizwa na watu mtaani kuhusu upungufu wa nguvu za kiume, nilijua ni swali jepesi lakini pindi ninapojibu huwa napata changamoto nyingi sana.
Leo naomba mnisaidie kujibu hili swali. Ndani ya hili swali kuna viji maswali hapo chini vilijitokeza na ndiyo vilinipa wakati mgumu wa kutoa jibu sahihi.
1. Mwanaume anapochelewa sana au kuwahi kufika kileleni huyo ana upungufu wa kitu gani?
2. Akimaliza mzunguko wa kwanza inamchukua muda mrefu kusimamisha kwa ajili ya mzunguko wa pili au ndiyo mpaka
kesho tena, huyu naya ana upungufu wa nini ?
3. Wengine mbegu zao hazina uwezo wa kusababisha mimba, huyu naye ana upungufu wa nini?
4. Wengine wanatoa shahawa kidogo sana hata mzunguko wa pili akikojoa anaishia kutoa hewa tu, hawa nao wana upungufu wa kitu gani ?Nini maana halisi ya upungufu wa nguvu za kiume? tiba zake zikoje au tiba ya kitu kimoja inaweza kutibu vyote kwa wakati mmoja ?