Nini maana ya usawa katika dhana ya Utawala Bora?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


USAWA: Ni hali ya kuwapatia wananchi wote fursa sawa katika kushiriki kwenye mambo yanayohusu jamii yao.

Usawa katika utendaji unahusisha mambo yafuatayo:

• Kutoa huduma bila ubaguzi au upendeleo wa aina yoyote.

• Kuendesha shughuli za umma bila ubaguzi au upendeleo.

• Kuthamini watu wote bila kujali tofauti zao.

• Kutambua makundi yote katika jamii na kutoa fursa sawa kwa makundi yote katika kuboresha hali zao.

• Kumfanya kila mwanajamii kujiona kuwa yeye ni sehemu ya jamii na pia ana maslahi kwenye jamii yake.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…