Nini maana ya utetezi kisheria .

KALENDA

Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
72
Reaction score
28
Habari zenu wana JF.
Rafiki yangu anatuhumiwa katika kesi, jana baada ya kufika mahakamani na kusikilizwa kesi yake
kwa mlalamikaji kuleta shahidi Hakimu wakati anaahirisha kesi alimwambia mtuhumiwa siku
inayofuata atakapokwenda awakilishe UTETEZI WAKE, je ina maana gan ?.
 
hapo huyo rafiki yako anatakiwa aende na ushaidi wa kuonesha kuwa hakutenda kosa wanalomshtaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…